Mtu Bingwa Kabisa
Member
- Apr 4, 2012
- 6
- 3
Siku za karibuni, UDOM kumeanza kutokea tena ukiukwaji wa sheria. Na kuna wimbi la kufukuza wafanyakazi kinyume na sheria. Kilichonisikitisha ni kitendo cha wafanyakazi kukata rufaa. na kushinda rufaa hizo, ila Uongozi wa Chuo Kikuu Cha Dodoma ukatumia ubabe ukakataa. hii ni baada ya kuona aibu. pamoja na kwamba tupo masomoni lakini tumeendelea kupata taarifa.
ila kilichonisikitisha zaidi, Mwenyekiti wetu alitoka kwenye kikao, akawataarifu juu ya kilichojiri kikaoni. na wakaandika barua kuonyesha kutoridhishwa. aliishia kupewa ONYO KALI, asirudie tena , na wakati wowote watamfukuza kazi. Sasa tumeamua kumjulisha Mheshimiwa na umma wa watanzania. Serikali isipochukua hatua Mwezi wa 5 wote tutarudi, tutaanza kupigania haki zetu. Kama suluhu ni migomo, ndiyo Serikali ifungue masikio Tutafanya hilo. nia na uwezo tunao.
Pitia attachement uone uozo mwingine UDOM, cjui pana laana. basi mi sisiemi tena:tape:
ila kilichonisikitisha zaidi, Mwenyekiti wetu alitoka kwenye kikao, akawataarifu juu ya kilichojiri kikaoni. na wakaandika barua kuonyesha kutoridhishwa. aliishia kupewa ONYO KALI, asirudie tena , na wakati wowote watamfukuza kazi. Sasa tumeamua kumjulisha Mheshimiwa na umma wa watanzania. Serikali isipochukua hatua Mwezi wa 5 wote tutarudi, tutaanza kupigania haki zetu. Kama suluhu ni migomo, ndiyo Serikali ifungue masikio Tutafanya hilo. nia na uwezo tunao.
Pitia attachement uone uozo mwingine UDOM, cjui pana laana. basi mi sisiemi tena:tape: