Ni heri damu imwagike tukamwaga niko tayari kwa ajili ya ukombozi wa wa vizazi vijavyo kuliko hali tuliyonayo sasa hivimzee kweli ni mnafiki , chekeleeni2 kauli zake na uzushi wake ipo cku nchi hii itakuwa damu.
Nina ushahidi wa kutosha kuhusu wabunge wa 1977(CCM) wanataka kuhamia CDM na madiwani kibao kila siku wananipigia huku majuu nitawatajieni wote.
CCM pwaa 2015!!CDM with M4C in total power!
slaa ni nouma
nenda kwenye ofisi za chadema mkuu.
Hata kama source ni ITV kwani Dr. Hana copy, si unascann tuu na kuweka basi. Source is not an issue, tunataka kuusoma huo waraka.
TUMBILI bana unanipaga raha sana, kwa hiyo unamaanisha wanajisalimisha wenyewe kwny ofisi ya CDM, kabla msako haujafanyika
eebwana mimi huwa najiuliza ivi Dr Silaa huwa anapata wapi hizi ishu nyeti hivi? nakumbuka ishu za epa alipata nyeti yeye, rada na na nyingine nyingi. hivi anayapataga wapi?
sisi watanzania tunamkubali kama mkomboz wetu
Mkuu OKW BOBAN SUNZU,
Mimi nipo Makao ya CHADEMA. Taarifa zote za vikao vya ndani ya CCM kuanzia vikao vya Sekretarieti, CC, NEC hadi Mkutano Mkuu huwa tunaletewa na baadhi yao wenye nia njema na Taifa letu. Na kuna kipindi walikuwa wanatuletea hadi Muhtasari wa Kikao, ajenda na copy of signed list of attendance. Yani ukiwa CHADEMA Makao Makuu ni kama upo Makao Makuu ya CCM. Siri zao zote tunazipata.
hakuna siriiiii chini ya jua. wamechelewa ila wasonge mbele watakutana na katiba mpya ikija waipokee.