Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Mwenzako TUNTEMEKE alikuja na hoja isiyo na data sasa anaugulia ban. Shauri yako
mbona hata chadema imetoa waraka kwa wabunge wote kutoa elimu ya mambo yanayotakiwa kuwepo mfano mwezi february mbunge viti maalum chadema mkoa wa singida dada yake tundu lisu aliendesha kikao cha semina hotel ya aqua kuanzia saa 3 asubuhi na kuwapa wajumbe 5000 ya nauli kila mjumbe! dr slaa ccm wanahaki yakuwa na mkakati kama ninyi chadema mnavyo fanya!