Hello Yahya, leo nilichangia kidogo katika kipindi chako ulichokua unatizama namna vyombo vya habari vilireport uchaguzi wa arumeru.
sina shida sana na namna vyombo vya habari vinareport campaigns, ingawa kuna namna nyingi mnaweza kuboresha, mfano kuwa mnatuonesha kwa kulinganisha sifa za hao wagombea, kama walishawahi kuwa viongozi huko nyuma basi vitu walivovisimamia, kama walikua wabunge hoja gani walizisukuma, kama walikua ni watu wa kudai nyongeza zo posho tu basi msifiche tuwekeeni hivi vitu hadharani.
Mchango wangu mkubwa ni namna mnacover ile siku ya uchaguzi, kama nilivochangia asubuhi, itakua nzuri kama mtakua na system ambayo kadiri mnavyopokea matokeo kutoka katika vituo basi yenyewe itakua inatupa jumla ya kura kwa kila mgombea na inatuambia ni vituo vingapi tayari mmepata matokeo yake na vituo vingapi bado, hii kitu mnakuwa mnaiweka katika screen inaupdate na inaonekana kadiri matokeo yanavyopokelewa (i hapo unaelewa najojaribu kusema, tizama namna tv za kenya zilifanya wakati wa kura ya katiba au cnn na msnbc ambavyo huwa wanafanya, hii itasaidia vitu viwili vifuatavyo
1. wadau wenu tutapata muelekeo wa matokeo mapema kabisa, hivo kuinyima tume 'haki' ya kutuchakachua
2. itapunguza mivutano na vurugu kwa sababu kila kitu kiko wazi, kama ni kuchakachua basi itakua maeneo mengine lakini sio katika ujumlishaji.
sina shida sana na namna vyombo vya habari vinareport campaigns, ingawa kuna namna nyingi mnaweza kuboresha, mfano kuwa mnatuonesha kwa kulinganisha sifa za hao wagombea, kama walishawahi kuwa viongozi huko nyuma basi vitu walivovisimamia, kama walikua wabunge hoja gani walizisukuma, kama walikua ni watu wa kudai nyongeza zo posho tu basi msifiche tuwekeeni hivi vitu hadharani.
Mchango wangu mkubwa ni namna mnacover ile siku ya uchaguzi, kama nilivochangia asubuhi, itakua nzuri kama mtakua na system ambayo kadiri mnavyopokea matokeo kutoka katika vituo basi yenyewe itakua inatupa jumla ya kura kwa kila mgombea na inatuambia ni vituo vingapi tayari mmepata matokeo yake na vituo vingapi bado, hii kitu mnakuwa mnaiweka katika screen inaupdate na inaonekana kadiri matokeo yanavyopokelewa (i hapo unaelewa najojaribu kusema, tizama namna tv za kenya zilifanya wakati wa kura ya katiba au cnn na msnbc ambavyo huwa wanafanya, hii itasaidia vitu viwili vifuatavyo
1. wadau wenu tutapata muelekeo wa matokeo mapema kabisa, hivo kuinyima tume 'haki' ya kutuchakachua
2. itapunguza mivutano na vurugu kwa sababu kila kitu kiko wazi, kama ni kuchakachua basi itakua maeneo mengine lakini sio katika ujumlishaji.