Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Oops u missed it again! nilimesema mwenyewe Halisi kaelewa ila wewe ulievamia pori kwa kiwembe umehola!
Narejea tena, kama unafanya JF ni sehemu ya kutmiana barua..kuna kitu kiaitwa Private Messaging..how about giving a try..?
Half truth! nimem refer Halisi kama mleta habari na sio kama muandishi wa article kama ulivyodai ktk post yako ya kwanza. Hilo la kama "ana authority" fulani ni 'uvumbuzi" wako tu. Hakuna ki twist words rudie post yangu na usome kwa makini tena.
Ok, sasa utakuwa na matatizo ya msingi kama unaweza kumjibu aliyeleta ujumbe badala ya aliyemtuma (mwandishi). All in all you are still going in cycles..