Zuwely salufu
Senior Member
- Oct 7, 2012
- 105
- 20
Nh vizri wakaainisha umbali kwani ikiwa abiria wa Buguluni,vingunguti,Tabata watatozwa kiasi hicho cha nauli usafiri huo tayari umeshapata upizani na hautaendelea na bado msongamano utaendelea na kuzidi