Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 18,657
- 13,484
Last edited by a moderator:
Mmm, huyo kimwana yuko pande za Chanika Dar, ila mimi mtu wake wa karibu (shangazi) niko Katavi kikazi narudi baada ya mwezi mmoja, hivyo kama wataka mambo marefu (ndoa), nifuate huku Katavi. Kama wataka mambo mafupi (uhusiano reja reja), hayo siyawezi, mfuate huko kwenye facebook mutaongea mambo yenu.
Kweli uko Katavi. Ole wenu mtakaomnyemelea binti wa Mama Mdogo.
Mimi nakutaka wewe Aunt mtu,maana mimi sipendi kabisa hivi visista du.Ila tafadhali uwe umeenda huko katavi kikazi kweli sio mwenyeji wa huko,maana watu wa huko tunawajua wenyewe.
yes kapistrano!hata kama ni kwa kutambaa tutafika tu!!Sijui tunapoelekea ila ipo siku tutafika!