Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
i real like this photo.Wanaume nanyi mko dhaifu mno kwa mitego, haya huo mtego mwingine. Kwa maelezo zaidi nifuate niko huku Mpanda Katavi.
View attachment 67657
i real like this photo.Wanaume nanyi mko dhaifu mno kwa mitego, haya huo mtego mwingine. Kwa maelezo zaidi nifuate niko huku Mpanda Katavi.
View attachment 67657
Mama Mdogo hakika nikija Mpanda likizo nitakutafuta unioneshe huyu da!!!!Wanaume nanyi mko dhaifu mno kwa mitego, haya huo mtego mwingine. Kwa maelezo zaidi nifuate niko huku Mpanda Katavi.
View attachment 67657
Assiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hiyo ya kitambaa chepechepe kali, inapatikana wapi hii?
Hapa nimetegeka Mama Mdogo nitakutafuta....Mmm, huyo kimwana yuko pande za Chanika Dar, ila mimi mtu wake wa karibu (shangazi) niko Katavi kikazi narudi baada ya mwezi mmoja, hivyo kama wataka mambo marefu (ndoa), nifuate huku Katavi. Kama wataka mambo mafupi (uhusiano reja reja), hayo siyawezi, mfuate huko kwenye facebook mutaongea mambo yenu.
Mi mpenzi wa mipododo mama mkwe fanya makeke huko kataviWanaume nanyi mko dhaifu mno kwa mitego, haya huo mtego mwingine. Kwa maelezo zaidi nifuate niko huku Mpanda Katavi.View attachment 67657
Wanaume nanyi mko dhaifu mno kwa mitego, haya huo mtego mwingine. Kwa maelezo zaidi nifuate niko huku Mpanda Katavi.
View attachment 67657
Oh my God, nimetegeka kwa wote wawili.
Sasa wewe unafuata nini huku? .... Dah, lazima utakuwa mlokole fake.Kabla hatujakwama tubadilike tusije kujutia maamuzi yatakayotupoteza. Neno la Mungu Qouran au Bible ndio silaha pekee ya kuyashinda majaribu ya Shetani.
Tukifanya hivi kila siku tutawaona hawa madada zetu na tutawaombea pia.
Yamekuwa hayo tena, huyu aunt wangu wamwita samaki, makubwa!!! Niombe radi, ila yuko Chanika, Dar es Salaam; mimi ndiye niko Katavi.
Sasa wewe unafuata nini huku? .... Dah, lazima utakuwa mlokole fake.
Mama Mdogo, Mama Mdogo, Mama Mdogo!!!!uchokozi huo,haya weeee!Wanaume nanyi mko dhaifu mno kwa mitego, haya huo mtego mwingine. Kwa maelezo zaidi nifuate niko huku Mpanda Katavi.
View attachment 67657
ooooh!!!kumbe yule ni binti wa Mama Mdogooooo! Mama Mdogo hivi uliniambia unaishi wapi vile!!Kweli uko Katavi. Ole wenu mtakaomnyemelea binti wa Mama Mdogo.