Mkuu Lucifer_The Supreme Vingine havizoeleki kabisa ni vya kuviangalia kwa macho na kuvicha vikaenda zake utaweza kuzoea njaa?Vitu vya kawaida tu hivyo mungu kawaumba kwa ajili yetu inabidi tuwazoee kama tunavyouzoea usingizi.
Wanaume nanyi mko dhaifu mno kwa mitego, haya huo mtego mwingine. Kwa maelezo zaidi nifuate niko huku Mpanda Katavi.
View attachment 67657
Huko Mpanda Katavi ndiko anakopatikana huyu au ndipo ulipo wewe..??
huyu samaki hapatikani katavi, labda awe kapelekwa na mafuriko.Wanaume nanyi mko dhaifu mno kwa mitego, haya huo mtego mwingine. Kwa maelezo zaidi nifuate niko huku Mpanda Katavi.
View attachment 67657
Unawahi Bafuni kupiga Pu?mkuu Gaspery laswayWacha niwahi bafuni kwnza ndo nirudi
huyu samaki hapatikani katavi, labda awe kapelekwa na mafuriko.
sorry mama mdogoYamekuwa hayo tena, huyu aunt wangu wamwita samaki, makubwa!!! Niombe radi, ila yuko Chanika, Dar es Salaam; mimi ndiye niko Katavi.
Mkuu ndetichia wengine ndio ugonjwa wao wanataka tu uanzishe kitu wao wamalize kila kitu kasheshe kweli na dunia yetu hii............................picha tu hoi kweli Mbuzi Mzee kamshika pabaya acha tu
Hii iko sawa. Tuwekee picha yake ya asubuhi kala hajapiga mswaki akiwa ndo katoka tu usingizini.Yamekuwa hayo tena, huyu aunt wangu wamwita samaki, makubwa!!! Niombe radi, ila yuko Chanika, Dar es Salaam; mimi ndiye niko Katavi.