Wadau, hivi PSPF na LAPF wamesha-shortlist watu kwa ajili ya usaili? Karibia mwezi sasa umepita bado wako kimya. Mwenye habari atujuze.
wadau kuweni makini kuna matapeli wanapigia watu simu na kuwaomba fedha ili
kushort list majina.Kwa taarifa za ndani ni kuwa hao ni matapeli wenye nia ya kuwalaghai job hunters.Upigaji huo wa simu unafuatia aptitude test ya PSPF iliyofanyika 1 June 2013!!!
Mwee! Na wewe ukawapa?hata mimi walinipigia wakataka niwatumie laki nne ili niitwe kwenye usail kwa madai yao ni kua nimefanya vizuri sana kwenye aptitude test ila watu ni wengi sana sasa inabidi niwape hiyo amount ili niwe special case.. mweeeeh!
Mwee! Na wewe ukawapa?