Ajira za TRA zina ubaguzi kwa watu wa Banking and Finance

Chongeni

Member
Jun 16, 2020
6
13
TRA wamewa-shortlist wenye digrii za Bank & Finance Kwa kigezo cha Finance, wamewaita kwenye usaili na namba za usaili wakawapa, Lakini siku ya Interview wakawatenga.

Ajira za TRA kupitia utumishi hazijawahi kuwatenga watu wenye Elimu ya Finance, vijana wengi tunawafahamu wameajiriwa TRA na wana digrii za Bank & Finance, na wanafanya vizuri huko kazini. Lakini TRA wamepewa mamlaka ya kuajiri wenyewe wanawatenga watoto wa masikini, tafadhali raisi ingilia kati, warudishe TRA utumishi.

Wanachotakiwa kuangalia ni nani amefanya vizuri Interview ya kodi ndo apewe ajira na sio digrii yake ya Finance au Tax.

Mwenye digrii ya Banking & Finance huenda akafaulu vizuri Interview ile ya maswali ya kodi na akafanya vizuri kazini kuliko mwenye digrii ya kodi, Lakini bado watamuacha mtu wa Banking & Finance na kumchukua huyo aliyefeli.

Banking & Finance, Accounting, Economic & tax course wote wamesoma Computation na wengi wamefanya options za accounting kwenye hiyo finance, wote wapewe haki Sawa za ajira na sio ubaguzi, tunaogombania kuajiriwa wote ni watoto wa Mtanzania masikini.

Raisi Samia ingilia kati hizi ajira za TRA, rudisha utumishi watoto wa masikini tusibaguliwe.

Nawasilisha!
 
TRA wamewa-shortlist wenye digrii za Bank & Finance Kwa kigezo cha Finance, wamewaita kwenye usaili na namba za usaili wakawapa, Lakini siku ya Interview wakawatenga...
Mkuu upo sahihi kwa ufafanuzi wako lakini hapo kwenye ishu ya finance ina wezekana ikawa wame amua kufanya mabadiliko ya kisera kwenye sector yao kwa wakati huu ingawa mwanzoni watu waliweza kupata nafasi kwenye ajira zao hivyo nadhani usiweke sana mtazamo hasi kwakuwa hivi vitu kila siku vina badilika kivingine kwenye vigezo wanavyo taka kutokana na uhitaji wa taasisi au shirika lenyewe..
 
Mkuu upo sahihi kwa ufafanuzi wako lakini hapo kwenye ishu ya finance ina wezekana ikawa wame amua kufanya mabadiliko ya kisera kwenye sector yao kwa wakati huu ingawa mwanzoni watu waliweza kupata nafasi kwenye ajira zao hivyo nadhani usiweke sana mtazamo hasi kwakuwa hivi vitu kila siku vina badilika kivingine kwenye vigezo wanavyo taka kutokana na uhitaji wa taasisi au shirika lenyewe..
Mzee, tangazo la ajira limetaja kigezo cha finance, unasema wamebadilisha sera, kama ni hivyo wasinge wa-shortlist! Unajua kufanya Computation za penalty & interest za kodi? Sasa hizo computation ni Finance. Pia unajua Sheria za kodi zinatokea wapi? It is from Finance Act. Je unajua zamani maswala ya kodi yalikuwa ni kitengo cha Makusanyo ya kodi kilichokuwa ndani ya wizara ya fedha, mwaka 1995 serikali ikaona hicho kitengo kijitegemee na kuitwa TRA, 1996 ndo kikaanza kazi rasmi as mamlaka inayojitegemea TRA. So it is all about Finance.
Yani TRA huwezi kuitenga na Finance sababu bodi yake imejaa mabosi wa wizara ya fedha, waziri wa fedha anapendekeza majina kadhaa na kuyapeleka kwa Raisi, kisha raisi ndo anateua jina 1 kuwa Kamishina Mkuu wa kodi. Yani TRA it is about Finance regulation, huwezi kuacha kada ya Finance TRA….!
 
Kwa mtizamo wangu ningeshauri serikali ingeacha usaili usimamiwe na ajira portal kule kidogo ukiritimba unapungua lakini kuachia mamlaka zenyewe italeta kujuana hasa taasisi kama tra kumejaa ukabila sana.
Hilo sidhani kama wata fanya tena kwasasa mkuu, maana nukuu za mara ya mwisho kwa hawa viongozi wetu tulisikia kwamba wakisema haya mashirika na taasisi nyingi zijitegee zenyewe kwenye kujisimamia na kuajiri pia.
 
TRA wamewa-shortlist wenye digrii za Bank & Finance Kwa kigezo cha Finance, wamewaita kwenye usaili na namba za usaili wakawapa, Lakini siku ya Interview wakawatenga.

Ajira za TRA kupitia utumishi hazijawahi kuwatenga watu wenye Elimu ya Finance, vijana wengi tunawafahamu wameajiriwa TRA na wana digrii za Bank & Finance, na wanafanya vizuri huko kazini. Lakini TRA wamepewa mamlaka ya kuajiri wenyewe wanawatenga watoto wa masikini, tafadhali raisi ingilia kati, warudishe TRA utumishi.

Wanachotakiwa kuangalia ni nani amefanya vizuri Interview ya kodi ndo apewe ajira na sio digrii yake ya Finance au Tax.

Mwenye digrii ya Banking & Finance huenda akafaulu vizuri Interview ile ya maswali ya kodi na akafanya vizuri kazini kuliko mwenye digrii ya kodi, Lakini bado watamuacha mtu wa Banking & Finance na kumchukua huyo aliyefeli.

Banking & Finance, Accounting, Economic & tax course wote wamesoma Computation na wengi wamefanya options za accounting kwenye hiyo finance, wote wapewe haki Sawa za ajira na sio ubaguzi, tunaogombania kuajiriwa wote ni watoto wa Mtanzania masikini.

Raisi Samia ingilia kati hizi ajira za TRA, rudisha utumishi watoto wa masikini tusibaguliwe.

Nawasilisha!
Afazali hata na nyinyi mnaitwa huko interview Je wenzangu na mie wa zee wa urban planning, regional planning,.

Tutalifanyia kazi
 
Off course watakuwa na hoja hao TRA,

Kazi za kodi ni za kiweledi,

Huwezi soma ilimradi Halafu wakuajiri ilimradi haiwezekani.

Ndio maana walipata tabu walivyokuwa utumishi kupelekewa watu waajabu wasojua kufanya kazi za TRA.

TRA ilipoanzishwa iliwekwa kuwa autonomous kufanya mambo yake Kwa kukidhi mahitaji yao ili kutimiza malengo .

Hii hufanyika nchi karibia zote Duniani.
 
Huo sasa sio ubaguzi ni kutokana na core business activities za kazi zao zinahitajika hivyo.

Key workers against supportive staff.

Zamani yakifanyika makosa .
 
Kuna wakati walisema wachaga ni wengi sana tra uchunguzi ulipofanyika ikaonekana watu kutoka mkoa Mara ndio wanaongoza kwa wingi kuliko wachaga wakifuatiwa na Wahaya mahasidi wakaufyata wakabaki kimyaaaa !
 
Back
Top Bottom