Wapi nitapata JBL bluetooth speakers original Mwanza?

Ni changamoto sana, kuna jamaa yangu aliagiza Dar ila nahsi amepigwa copy maana inagonga kiasi alafu haikai na chaji. Mi nimeamua kuchukua ya oraimo angalau najua sio copy na inagonga vizuri sana ukilinganisha na bei yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom