Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Tangu asasambuliwe kwenye mdahalo na mwenyekiti wangu (FM), bwana huyu aliyejibatiza kisifa cha mwanasiasa mkongwe sijamsikia tena.
tatizo la kurudi ccm ndo hilo. ukihama ccm, siku moja ukarogwa ukarudi watakufanya uwe hata mpiga deki.
wapi mwanasiasa mkongwe? wapi hamad rashid? wapi mzee wa "process ya siasa ni mchakato"?
nauliza wapi?
tatizo la kurudi ccm ndo hilo. ukihama ccm, siku moja ukarogwa ukarudi watakufanya uwe hata mpiga deki.
wapi mwanasiasa mkongwe? wapi hamad rashid? wapi mzee wa "process ya siasa ni mchakato"?
nauliza wapi?