Kweny bunge hili sijawasikia machachar ya wabunge hawa. au ni vile bunge hili limekuwa la kutunga sheria zaid au hawazijui. umaaruf umewatosha au wamezibwa midomo
Hapa ndiyo nimeona uviraka wa Nchemba na Lusinde. Wapo kwaajili ya Fitna tu. Ule usemi wa kusema wabunge vijana wana mitazamo chanya mipya, uchunguzwe upya hasa kwa chama Tawala. BUNGE hili litakuwa kipimo kizuri cha kuchekecha wawakilishi weru 2015.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.