AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
Nimeusikiliza... huu haujaka kimipasho mipasho... Sijui sababu it is a guy or not
it is a nice song.... Thank you...
Nimeusikiliza... huu haujaka kimipasho mipasho... Sijui sababu it is a guy or not
it is a nice song.... Thank you...
Aliekwambia taarab ni nyimbo za mipasho kakupotosha. Taarab ni nyimbo na staha zake na ukienda concerts za taarab za ukweli utakuta couples wa miaka 70 wametia ngosha wanaenda kutunza.
Nafikiri wewe unazungumzia TAARABU. Mark the U at the end of the word
Gaijin asante saana
sasa nausubiri huo wa juma balo au maulidi hivi
unaitwa pendo hili,pendo hili,taamu ajabu....
Nipe links
Hapo sasa nimekupata Gaijin... genuinely nilijua ni nyimbo karibu zoote za mipasho
hivyo i don't even bother - but with this knowledge at hand nitafanyia kazi na kuhakikisha
nizijue.... ila i have to admit kuna wimbo mmoja aunty yangu alikua anapenda na
nikau kubali... it goes like
Macho yanacheka.... Moyo unalia... (It is the only taarab I know and Love)
na nikiusikia mpaka nimkumbuke huyo aunty..
Halafu kuna mwanahela.....
Mwenye links aweke hapa....
boss mwanahela???
Huyo ni Shakila
Gaijin
iinaiimbwa hivi....
Ooohh rraaabi...........
Ushaijua?
Gaijin
iinaiimbwa hivi....
Ooohh rraaabi...........
Ushaijua?
Ulie tu!! yako haipo... The Boss sikiliza huo wimbo hapo juu ni mzuri kweli
I think leo nitashindia huu... muimbaji katulia mno, vyombo na maneno...
Shakila ana mwengine unaitwa "kifo cha mahaba" ......huo mkali
Naona nimebadilisha mawazo juu ya taraab... inabidi tu nikomae kufahamu
ni ipi taarab na ipi taarabu....
Kifo cha mahaba, kina idhilali
hakina haiba, wala afadhali
bali tajikaba, nifilie mbali
kufa kwa mahaba, ni adhabu kali
leo ni msiba, usio mithali
kesho ni adhaba, mbele ya jalali
Ewe mahabuba, niepushe hili
Ni wewe tabiba, hakuna wa pili
Hapanda jadhiba, tajiua kweli
Gaijin naomba usichoke... Upload basi na wimbo aiseee...
Wimbo nishauweka post #115