Wadau wa afya habari? Poleni na Majukumu.
Nimekuwa namuuguza mtoto wangu Takriba wiki 3 sasa juzi tuu kamaliza Matibabu akisumbuliwa na Kifua,
Mtoto ana Miezi 6.
Anapumua kwa shida yaani Anakoroma akiwa amelala na unaona anavyohangaika Kupumua Mbavu zake.
Wiki ya 3 Sasa,
Amekuwa akitumia dawa ila Improvement ni kidogo na dozi amemaliza tangu juzi,
Nilimpeleka Furaha Hospital Mbweni Teta.
Natafakari wapi nitapata Daktari Mzuri wa watoto?
Unaweza Kuta haiitaji madawa tena labda ni ushauri na Vitu vingine vya Kumfanyia i just imagine tu.
Natanguliza Shukrani wadau
Nimekuwa namuuguza mtoto wangu Takriba wiki 3 sasa juzi tuu kamaliza Matibabu akisumbuliwa na Kifua,
Mtoto ana Miezi 6.
Anapumua kwa shida yaani Anakoroma akiwa amelala na unaona anavyohangaika Kupumua Mbavu zake.
Wiki ya 3 Sasa,
Amekuwa akitumia dawa ila Improvement ni kidogo na dozi amemaliza tangu juzi,
Nilimpeleka Furaha Hospital Mbweni Teta.
Natafakari wapi nitapata Daktari Mzuri wa watoto?
Unaweza Kuta haiitaji madawa tena labda ni ushauri na Vitu vingine vya Kumfanyia i just imagine tu.
Natanguliza Shukrani wadau