Pugb nasikia nila online kwa cku kucheza ukatosheka linaweza gharamu gb ngapi brother in arms lenyewe sikulipenda linajirudia Sana an n kutegua mabomu tu mwanzo mwishoYako mengi mkuu Pc yako ina GPU ya kutosha
1.Ghost recon
2.call of duty black ops
3.battle field 4
4. Medal of honor
Izo ni baadhi ya game za pc
Za cm hiz hapa
1.Brother in Arms
2.Cover fire
3.PUGB
Kiufupi game ziko nyingi sana mkuu izo ni haadhi tu
Gb 7 dailyPugb nasikia nila online kwa cku kucheza ukatosheka linaweza gharamu gb ngapi brother in arms lenyewe sikulipenda linajirudia Sana an n kutegua mabomu tu mwanzo mwisho
Ivi hii nj online au offlinePUBG ina addiction kali mno
Brother ina arms ni offline or onlineYako mengi mkuu Pc yako ina GPU ya kutosha
1.Ghost recon
2.call of duty black ops
3.battle field 4
4. Medal of honor
Izo ni baadhi ya game za pc
Za cm hiz hapa
1.Brother in Arms
2.Cover fire
3.PUGB
Kiufupi game ziko nyingi sana mkuu izo ni haadhi tu
Mb 200 siku nzima fungua account kabisa nikupe na I'd pia tuna group la whatsapp players wengi wa east Africa tupo ukoPugb nasikia nila online kwa cku kucheza ukatosheka linaweza gharamu gb ngapi brother in arms lenyewe sikulipenda linajirudia Sana an n kutegua mabomu tu mwanzo mwisho
OnlineIvi hii nj online au offline
sio kweli mkuu GB7 daily ??? ita depend unachez mda gan me mara nying huw nachez kam saa nzima na haizid mb50Gb 7 daily
OfflineBrother ina arms ni offline or online
Hatari sanaNimeicopy thread yako kwenye ChatGPT imejibu hivi
Kama AI, inapendekezwa kwamba usipige vita au kushiriki katika aina yoyote ya shughuli ya kivita kwa sababu ni hatari sana na inaweza kusababisha madhara makubwa kwa afya yako na kwa wengine.
Kuhusu michezo ya kivita, unaweza kujaribu michezo kama "Call of Duty", "Battlefield", "Medal of Honor", "Sniper Elite", "Tom Clancy's Ghost Recon", "Rainbow Six Siege", "Spec Ops: The Line", na "Metal Gear Solid". Hizi ni michezo maarufu ya kivita ambayo ina hadithi nzuri na zinapatikana kwenye simu za mkononi na kompyuta.
Hata hivyo, ni muhimu kukumbuka kwamba michezo hii ni burudani tu na sio uhalisi wa vita. Inashauriwa kutumia muda wako kwa busara na kufurahia michezo hii kwa kuzingatia afya yako na wengine.
Mb 200 siku nzima fungua account kabisa nikupe na I'd pia tuna group la whatsapp players wengi wa east Africa tupo uko