Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Kwani akili zangu waziona?Una akili timamu kweli wewe,huoni upo nje ya mada?
Nje ya mada atii!
Hebu anzia tulipoanzia hayo maelezo!
Usiwe mpuuzi nawewe!
Hapo ulipoanzia sipo!
Kwani akili zangu waziona?Una akili timamu kweli wewe,huoni upo nje ya mada?
Me binafsi naogopa kwa yaliotokea...ila humu humu ndio mahala pake. Tena hata ww mammammia umepata faida.Ma'alim Jumar na Mgen, mada yenu kweli nzuri, lakini ninawaomba muende Mto wa Mbu, hapa tupeni nafasi tuchangie mada ya ndoa kama ilivyoletwa.
Haya mambo ni vzuri kuyaangalia kwa imakini.Vijana wa kikristu wanapobadili dini kwa minajili ya kuoa ama kuolewa, wengi wao hubadili tu majina na kutamka maneno wasiyojua maana yake. Imani haibadilishwi siku moja na anayekulazimisha kubadili dini hakupendi. kwangu mimi sioni noma kama mkristu anaoa binti wa kiislamu na kumwacha aendelee na imani yake. Hili katika ukristu linawezekana kabisa na ndoa inabarikiwa kanisani lakini mama anaendelea kuwa mwislamu. Tatizo liko upande wa pili ambapo ni shurti ubadili 'jina'.
ukikubadili dini kwasababu ya uchi mie nitakuona we ni mbwiga,tafuta wa dini yako na huyo muislamu nipe mawasiliano yake ili nimuoe mm
ukikubadili dini kwasababu ya uchi mie nitakuona we ni mbwiga,tafuta wa dini yako na huyo muislamu nipe mawasiliano yake ili nimuoe mm
Kama umekolea haya bana,chekecha pumba mchele pika ule,kila la kheri ktk ndoa yenu ila usisahau mualiko maana mie ni mzee wa minusokaka hatujafikia huko pa kupeana wapenzi daah! Ushauri mwingine bana! Ila nashukuru kwa ushauri.ebu tafuta mwingine make huyu wakwangu siwezi eehe bana eeehe! Naona noma kaka sio uongo. Siwezi ata jaribu.