Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Si kweli mwanamke wa kiislam hana dini. Usitake mengine humu kisha mseme mambo ya udini. Kwanza sijaona ukristo unasema muoane. Hata Yesu hakuoa!Mwanangu fuata ushauri huu:
Kwa mujibu wa Ukristo baba ni kichwa cha nyumba.
Kwa mujibu wa Uislamu mwanamke hana dini kwa maana bwana akiuza bange au gongo mwanamke naye ni mdau.
Hivyo basi usibadili dini abaadan kwa shinikizo la mapenzi utachekwa na ndoa yako itakosa amani hadi kizazi chako, kesho watakwambia sharti lingine gumu zaidi.
Mueleze ukweli tupu huyo msichana kwamba hutabadili dini kwa shinikizo la wazazi wako sio nitakao ishi nao.
Kama hataki hakupendi bali anapenda wazazi wake.
Mapadre hawaoi. Sijui mnaoana kumfuata nani?