Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
Bwasheee, aliyemwaga damu za watu ni Mbowe aliyelazimisha kutembea! Hivi si aliwahi kugombea uraisi huyu? haki ya nani angetuuwa!
Eti anajifanya mbabe, kaswekwa selo anahangaika kuomba watu waje wamtoe lupango! Wenzake wamepoteza roho yeye kukaa selo usiku mmoja tu kashindwa, mwambieni aache kudanganya watu!
Maaskofu kama wamekataa ushauri wa Mary (kuvua majoho) basi wamuombee kondoo huyu maana yaonyesha pepo la kuvuruga amani limemuingia!
hata mlevi wa chang'aa pale kibera slums hawezi kuja na upupu wa namna hii