Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Meya wa Arusha anazidi kupata wakati mgumu. Wale wapagani wasioamini dini yeyote wameweka wazi nia yao, Mzee Ole Ngoyai akiongea na wenzake maeneo ya kona ya Illboru karibu na Masai Pub ameeleza kusikitishwa na uchaguzi huo wa Meya huyo.
Source: Rev Masa
Source: Rev Masa