G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Wadau nilienda vodashop kuwaomba waactivate laini yangu kwa huduma ya Who called(nani alipiga nilipofunga simu) ambapo ukiwasha simu unakuta msg ya kukujulisha nani alikupigia
wao walisema watatangaza tena jinsi ya kujiunga na huduma hii lakin kimya naomba msaada kwa mwenye kujua jinsi ya kujiunga nifanyaje! Nawasilisha.
wao walisema watatangaza tena jinsi ya kujiunga na huduma hii lakin kimya naomba msaada kwa mwenye kujua jinsi ya kujiunga nifanyaje! Nawasilisha.