Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Ikiwa ni kamda nimekaa unyamwezini nimeshindwa kuelewa kabisa tatizo nini kwa ndugu zetu hawa
Nimejaribu hata kuulizia tofauti na mikoa mingine Wanyamwezi mbona ngoma zenu za asiri hazichezwi huku,kusema kweli sijawahi ama kusikia wala kuona ngoma za kinyamwezi huku Tabora,tatizo ni nini?hata kwenye kipindi cha ngoma za asiri TBC sijawahi ona ngoma zao,nini tatizo,ama hamna ngoma za asiri
Tuje kwenye mavazi ya asiri,nako nikauliza,yenu ni yapi?majibu yakawa ni mengi lakini kusema kweli sikupata jibu haswa,nachokiona ni mavazi ya kiswahili madila,shanga,kuvaa vipini puani,kujichora mikono na miguuni
Naombeni wana Jf mnisaidie,hawa watu utamaduni wao ni upi ama hawana kabisa?
Nimejaribu hata kuulizia tofauti na mikoa mingine Wanyamwezi mbona ngoma zenu za asiri hazichezwi huku,kusema kweli sijawahi ama kusikia wala kuona ngoma za kinyamwezi huku Tabora,tatizo ni nini?hata kwenye kipindi cha ngoma za asiri TBC sijawahi ona ngoma zao,nini tatizo,ama hamna ngoma za asiri
Tuje kwenye mavazi ya asiri,nako nikauliza,yenu ni yapi?majibu yakawa ni mengi lakini kusema kweli sikupata jibu haswa,nachokiona ni mavazi ya kiswahili madila,shanga,kuvaa vipini puani,kujichora mikono na miguuni
Naombeni wana Jf mnisaidie,hawa watu utamaduni wao ni upi ama hawana kabisa?