Wanyakyusa ni wahanga wa CCM?

Status
Not open for further replies.
Kimsingi mi pia sitoki huko Mbeya lakini nakubaliana na wewe, kukiwa na tatizo jamani ni bora kulijadiri kuliko kuliogopa, hofu yako hailifanyi tatizo kutoka lenyewe, litabakia pale tu, jamani hivi aliye anzisha hili tatizo la ukabila hivi ni nani? si hawa magamba na mwenyekiti wao? mtoa maada ametoa ushahidi (though ni mwembamba, because Kolimba, Amina Chifupa, Imrani Kombe, Stanslaus Katabalo n. k hawakuwa Wanyakyusa) tumpinge kwa data, magamba kupitia nape nnauye si waliwahi kuwaambia baadhi ya watu humu nchini kwamba CDM ni ya wachaga? thank God kwa vile CDM hawakwenda Moshi na kuwaambia wachaga wa kule ambao ni mashabiki wa magamba waondoke magamba eti kwa vile magamba wamewaema vibaya Wachaga as CUF did last Sunday, tukumbuke pia mara baada ya Kikwet kuingia madarakani kulikuwa na mgawanyiko mkubwa sana Mbeya, mgawanyiko ambao ulionesha kabisa Kikwete alikuwa na mkono wake pale.

Magamba pia wameisha pandikiza sumu ya udini ambyo kimsingi sasa hivi inatusumbua sana, hata humu ndani ya jamvi, so kulikalia kimya suala hili au kuliogopa ni sawa na kumpa mgonjwa wa Malaria Panadol, atakufa tu, dawa tulijadiri tatizo hili na kuliondoa kabisa na sio kulikalia kimya while tatizo lipo.
 
hizi ni kesi tu na ukitoa ulimboka amna aliesema wazi anataka kuuliwa. Inakuwa ni ushabiki wa kijinga-jinga. Ni sawa na kuangaika na mbwa anaebweka ukikasirika unammaliza we mwenyewe tu asibweke, tatizo kummaliza mbwa ni kumuazibu mwenye mbwa ambae ni mstaarabu na rafiki wa majirani wote. Inabidi uvumilie kelele za mbwa tena koko.
Dhaifu watu wa Mbeya
 
Emeseji eje janaloli nine nitike, twebanyakyosa twesa toboke kwa chadema ccm bagogi bakatogana oswe,
 
Umemsahau askali Aceli Mwampamba aliyepigwa na bomu wakati akipambana kumuokoa Mwangosi.
 
Ongeza“ Jaji mwakasendo na Gibons mwaikambo” katika list hiyo!!

My take: Huo si ujumbe wa uchochezi ni ujumbe wa kuwapa awareness against ccm.
ujumbe huu hauna tofauti na tangazo la epuka ukimwi unaua!! just AWARENESS!

Nb: kwani mwakyembe na mwandosya wamekanusha kutendwa na ccm?
 
Lazima nikiri kuwa baada ya kusoma jina la Mwangosi, nilifikiri ni Mwa kwa bahati mbaya ila yeye ni mtu wa Iringa.

Nilipokuja kusikia kuwa ni mtu wa Mbeya, nikashikwa na butwaa sana.

Hivi inakuwaje Wanyakyusa wengi kuwa WAHANGA wa Serikali ya CCM?

Kibaya zaidi ni kuwa Wanyakyusa wengi hasa wa KYELA, wameshika POST nyingi kubwa kubwa hapa Tanzania, ukianzia na Mboma, Apson Mwangoga, Mwamunyange (Msemaji wa Polisi), Mwamunyange (Bosi wa JWTZ), na wengine wengi.

Ukiangalia upande mmoja unaona kama Wanyakyusa wanapendelewa sana Tanzania na POST kubwa kubwa (hapo hujamsema Amon Nsekela wa NBC enzi zake wakati anamzalisha kuwa tajiri, baba yake Dr. Mponjoli wa UK-JELA).

Anyway, hii ya Wanyakyusa inabidi kuingalia vizuri maana kwa upande fulani, ndiyo wenye SAY kubwa sana hapa Tanzania na hasa ndani ya CCM. Kwenye Chadema, hawana nguvu sana ila CHADEMA nafikiri ina nguvu sana Mbeya.
 
Tatizo ni wadhaifu ndiyo uchochoro wa kupitia kuwatishia watu wengine wenye misimamo kama wao.Wanafanyiwa vitendo vya kikatili vya karibu kutoa roho zao lakini wakishapona badala ya kueleza uma wa wananchi ni nini kiliwapata wanakuwa Kimya.Wacha wafundishwe adabu dhaifu wakubwa hawa.

Hapo kwenye red umenikuna.
Hawa Wanyaki waendelee kushikishwa adabu mpaka waje wakome ku-support lichama liuaji kama CCM!!
 
Hata mimi sipendi sana kujadili mambo yanayo base na kabila fulani ila nafikiria tu pengine Ukombozi unaweza kutokea kwao! hizo damu haziwezi kuwa zinaenda hivi hivi, ni mawazo tu yawezekana watakaoiua CCM, au kifo cha CCM kitatokea kwa hao wanaofiwa hata Arusha nayo naona inaweza kuwa mzizi wa kifo cha CCM
 
Wanyakyusa kutokana na kuwa na dini au madhehebu mengi wamefunzwa kimaadili kusimama katika kweli kwa kuwa ni sifa ya Mungu na kumjua mungu kumesababisha hofu ya mungu kwao inayowasababisha wasimamie ukweli ndio maana imewagarimu wanapokuta uozo na kujitenga nao sio watu wanajisikia vyema kulea uozo au uonevu.

Sikatai makabila wala watanzania wengine kufanya kama wenzetu hawa kuwa tayari kusimamia wanachoamini wao idadi yao kwenye kupigania haki wako mstari[ wa mbele HOFU YA MUNGU INAWAFANYA WASIWAOGOPE WANADAMU Wanaosimamia dhuluma. Ni tambue miongoni mwao wapo ambao uongo dhuluma ni sehemu a maisha kwa kuwa maadili na asili hawakuvipa nafasi kama vile makabila mengine kuna wenye kusimama katika mapenzi ya Mungu na wapo wasiosimama katika haki na kweli wanapopewa nafasi ya kutumia vipawa walivyojaliwa kutumikia Taifa
 
Inawezekana watu wanyakyusa wana uwezo mkubwa ndiyo maana ndani ya CCM wanamamlaka makubwwa na wengine ni wapigania haki
 
Mwaikambo - aliuwawa na serikali ya CCM
Jaji Mwaikusa - firing squad ya CCM ilikatiza maisha yake
Mwakyembe - ameponea chupuchupu kwa sumu ya CCM
Mwandosya - hali yake bado ni tete kwa sababu ya sumu "aliyolishwa" na CCM
Ulimboka - sina haja ya kusema
Mwangosi - hadi dakika hii sisi sote bado tunaugulia jeraha baada ya kufa in cold blood mikononi mwa CCM!

Jamani Wanyakyusa.....litakuwa ajabu la 8 la dunia kama mtaendelea kuwachagua wabunge na raisi kutoka chama "monster" kama hichi.


Sasa nyie watu wa Mbeya mnabopoa raisi mawe halafu mnategemea nini? Pay back time sasa! Kwanza tulisahau, na umeme tutawakatia tena, miewzi miwili. Na uwanja wa ndege ule hatuumalizi ng'o!
 
Jamani nchi yetu inaelekea kwenye utumwa, matabaka, na usultani wacha watu wajadili la sivyo tuendapo sipo.

Kikundi hichi kinachotaka kuhalalisha utawala nchini mwetu wana sifa hz.

-Mtu wao akiboronga hachukuliwi hatua hata iwe vp sanasana anahamishwa
-wanapenda sana kujipambanua kwenye jamii kuwa wao ndio wenye akili sana na wanafaa kuongoza kuliko mwana jamii yeyote
-Wanajenga urafiki sana na watu maarufu hasa wanhabari,wanamichezo na kujifanya ni washabiki na watetezi wa wanawanchi wenye umaarufu katika fani mbalimbali humu nchini
-Wengi wao ni mafisadi lkn wanajipambanua kuwa ni wazaalendo wa hali ya juu
-Wengi wao background za elimu ni mbovu au elimu zao ni za mashakamashaka mra nyingi wamezipatia nje ya nchi wakiulizwa sana majibu yao huwa siasa ua utawala hauhitaji elimu kubwa.
-Ni mafundi sana wa kuwatumia wenye elimu kuwatengezezea maisha yao kw akutumia utawala wao, mbaya zaidi wanajenga urafikli wa muda na wasomi wanaooshirikianao kwenye utawala kisha uwaingiza kwenye mitego na kuwalipua au kuwatelekeza ili usomi uonekane sio kigezo cha utawala mfano Prof, Kapuya, Mwakyembe, Mwandosha, Ngeleja na Mwigulu ambaye ameshachafuka sasa kwenye jamii.
-Wakiona jamii nyingine tofauti na yao inahatarisha utawala wao ndio wakwanza kuibuka kusema hiyo jamii ni ya kikaskazini au kidini.
-Hawapendi wachapa kazi kwenye utawala wao maana wanawafunika hivyo uwafanyia mizengwe au wanapoteleza kdg tuu wanawafukuza fasta, kitu ambacho hakitokei kikifanywa na mtu wa kanda,dini,kikundi, au kabila la hao watawala tabaka.
-Pia wanapenda sana familia au ndugu zao washike nyazifa kubwa za maamuzi
-Mwisho,ila unaweza ongeza wanawatu wao wamewaset humu JF kuhakikisha wanawatetea kwa kutumia njia hizi hapa chini

Njia hizi zimekuwa zikitumiwa kama kinga ya wanaotaka utawala wa kujuana, kitabaka na kisultani
-Usilete ukabila wakati wao wanafanya
-Usilete udini wakati wao wanafanya
-Jamii ikihoji kuhusu jambo fulani kumuhusu mtu wao majibu huwa maraisi tu nayo ni haki yake ya kikatiba
kuwa kiongozi na wivu ndio unaowasumbua wanaohoji.
 
Jamani naomba niwape historia kidogo ya CCM na Wanyakyusa. Kuna simulizi tunapewa na wazee wetu kwamba Nyerere aliona ni kabila kubwa tena lililopata elimu mapema kama ilivyo wachagga na wahaya. Tofauti na wachaga na wahaya ni uthubutu wa wanyakyusa. Nyrere aliogopa kabila hilo sana, na kama ilivyo ada " Zidumu Fikra Sahihi za Mwenyekiti" ndio maana Mkapa aliendeleza, Kikwete ndio kamaliza kabisa. Mwinyi hakuwa na tatizo na Wanyakyusa kwa sababu hakuwa na makuu, ingawa chama chake kilikuwa na chuki.
Wadau hii mada ni muhimu kujadiliwa ili nukweli uwe hadharani kuliko kunyamazishana, demokrasia inataka mawazo mapana sio kujifungia ndani ya boksi
 
Jamani naomba niwape historia kidogo ya CCM na Wanyakyusa. Kuna simulizi tunapewa na wazee wetu kwamba Nyerere aliona ni kabila kubwa tena lililopata elimu mapema kama ilivyo wachagga na wahaya. Tofauti na wachaga na wahaya ni uthubutu wa wanyakyusa. Nyrere aliogopa kabila hilo sana, na kama ilivyo ada " Zidumu Fikra Sahihi za Mwenyekiti" ndio maana Mkapa aliendeleza, Kikwete ndio kamaliza kabisa. Mwinyi hakuwa na tatizo na Wanyakyusa kwa sababu hakuwa na makuu, ingawa chama chake kilikuwa na chuki.<br>Wadau hii mada ni muhimu kujadiliwa ili nukweli uwe hadharani kuliko kunyamazishana, demokrasia inataka mawazo mapana sio kujifungia ndani ya boksi
 
umenishtua sana na hii post ya udini...na wale wa kule nyamongo ni wanyakyusa? Ally wa morogoro ni mnyakyusa?
tuambie zaidi ya Ally wa Morogoro ni nani na nani tena wa Morogoro waliopatwa na mikasa ya aina hiyo!!?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom