Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,933
- 32,342
Mkuu jamaa baada ya kupigwa chini Chadema ameamua kunyoa rasta kuepusha zomea-zomea za raiya wa arusha . Na hapa yupo na mama mpya wa kizungu Pamela:View attachment 38946
Daudi Masaburi, acha kufuatilia maisha ya mwanaume mwenzeko wewe mtoto wa kiume