Wangapi zamani waliamini Majaji ni watu wenye uwezo mkubwa lakini Sasa wanaanza kuamini kila mtu anaweza kuwa Jaji?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
 
Kuna tofauti kubwa kati ya akili, uwezo na uteule.
Jaji ni mteuliwa, hivyo Rais anauwezo wa kumteua yeyoye aliekidhi vigezo hata kama hana uwezo/akili/hekma/busara.
Ama kwa lugha nyepesi ni kwamba kuna tofauti kubwa kati ya kusoma na kuelimika.
 
Mimi nilichogundua hata mimi wa Nanjilinji naweza kuwa Jaji,kwakusoma page zaidi ya 150 Kwa siku 2! Inamaana hakulala kwenye hizo siku mda wakula ndoalikuwa anatafakali,hata alicho tafakali hakueleza kwamba Ili na ndo linafanya wawe na kesi yakujibu.Hivyo inaoneka yani kuwa Jaji sio kitu tena
 
Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
Jaji alikuwa Samatta na Warioba siyo huyu mchumia tumbo Tigana.
 
Tutawakumbuka sana akina jaji lugakingira walikuwa na misimamo mikali awakupenda kazi yao ichafuliwe na mtu yeyote kwa maslai yake binafsi, kwao walikuwa wanasimamia sheria na si vinginevyo, lakini sasa hivi mambo yamebadilika sana ni aibu kubwa sana kwa majaji kujidhalilisha inasikitisha sana
 
Mijaji mingi Tanzania inasoma kwa kukariri siyo kuelewa. That's why they have bowel disorders making their empty heads to be empty
Nilitegemea, baada ya kupitia Maelezo ya Mashahidi 13, hakuna Ushahidi wa Moja kwa Moja pasipo shaka, kuwa Watuhumiwa walitenda Kosa. Shahidi A kasema hivi......hapo tungeona panapovuja. Mimi nashauri Washtakiwa wakodi Jaji toka Nchi Jirani. Otherwise Utetezi wa Mashahidi wao utatupiliwa mbali kama Kesi Ndogo zilizopita. Mwisho watafungwa. Inaumiza Judgement za Aina hii Bado zinaExist na Watu wananyamaza😭😭
 
Mtoa hoja hii kwa nchi yetu bado sana, judiciary yetu ni mbovu mno kuliko hata ya serikali ya makaburu wakati Madiba(rip) na wenzake walipopandishwa kizimbani kwa high treason case(case ya Kwanza kabla ya revonia one;Drill Hall case)judge wake aliiendesha Ile case tofauti kabisa na hawa walia njaa wa kwetu,na hopes wengi wetu humu wameona ni jinsi gani mchakato wa Kumpata CJ wa wenzetu hapo SA ulivyofanyika, katiba mpya ndio njia pekee,Mr.Mbowe and others SIO magaidi, ni matumizi mabaya ya kodi yangu.
 
Ndio maana Tunisia yamefukuzwa yote raisi wao japo ni mibange lakini anaamini yatamsaliti. HAYANA YAJUACHO. usiamini mwanadaamu kamwe.
 
Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
Mkuu, Jaji Thomas Simba alikuwa hakimu WA mahakama ya hakimu mkazi kisutu. Baada ya kuwahukumu Akina Mbowe na wenzake, Mwendazake alimpandishwa cheo na kuwa jaji WA mahakama kuu. Je jaji WA Aina hiyo anaweza kuiangusha Jamhuri??
 
Hivi kwenye kesi ya Mbowe kwa mfano, kulikuwa na sababu gani ya kuita mashahidi?
Kama Jaji wa mchongo alishindwa kuangalia maelezo yao yalivyo tofautiana na kuamua kimchongo kumtia Mbowe na wenzake hatiani. Hwlafu tuseme juyu nae ni Jaji?
Kuna mahakimu wa mahakama ya mwanzp wengi ambao wange weza kuamua hii kesi vizuri kuliko huyu jaji wa mchongo.
Tulimshauri Mnyika wamkatae mapema waka fikiri tuna mchukia bila sababu.
 
JAJI NI JAJI Ukianza tu KUMJAJI JAJI kwa mirengo ya kisiasa huwezi tambua maana ya JAJI,Nimefatillia sana kesi ya Mheshimiwa MBOWE toka inaanza ila honestly speaking from the beggining watoa taarifa hawakuwa objective
Walifanya propaganda wakitegemea upepo wao ungebadili ukweli. Walimshambulia Magufuli sana wakitegemea huruma ya wazungu lakini hawakujua kuwa Tanzania ni taifa huru. Haya waliomba Magufuli aondoke duniani na Mungu akatenda huku wakidhani kesho yao itakuwa saaafi kwa njia zao za propaganda. Serikali ya Tanzania iko makini lazima msumeno ukate inavyotakiwa. Tii sheria bila shuruti utakuala mema ya nchi .POLENI
 
Back
Top Bottom