Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?
Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.
Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!
Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?
Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.
Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!
Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?