Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
polygamy is allowed.
Not allowed in Christianity!
polygamy is allowed.
Mimi ni Mtanzania ambaye nina maisha yangu, maisha ya mapenzi yananichanganya sana kwa sababu kuna wanawake zaidi ya watatu wananikubali sana na kila mmoja ana malengo ya kuwa nami..nifanyaje wana JF ili nisiwaumize wote kati yao.?!
ha ha ha ha ha kumbeeeeeeeh! lol! king'astiHuwajui watoto wa siku hizi! Wataanza kumuendea kwa mganga wote afu atashika adabu yake!
Asanteni kwa ushaur wenu, kiukwel hao wacchana wanajigonga wenyewe kwangu wala ckuwatongoza..daaaaah
Huwajui watoto wa siku hizi! Wataanza kumuendea kwa mganga wote afu atashika adabu yake!
Mimi ni Mtanzania ambaye nina maisha yangu, maisha ya mapenzi yananichanganya sana kwa sababu kuna wanawake zaidi ya watatu wananikubali sana na kila mmoja ana malengo ya kuwa nami..nifanyaje wana JF ili nisiwaumize wote kati yao.?!