heshima zenu wakubwa.
wiki iliyopita nilikutana na yule msichana niliyeomba ushauri kwenu kwenye post inayosema nimfanye nini huyu msichana. https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/158191-nimfanye-nini-huyu-msichana.html.
basi tulivyokutana nilimuomba afungue message kwenye facebook yake,duuh nilichokiona moyo ulikufa ganzi, maana wanaandikiana karibia kila siku mambo ya mapenzi na yule ex boyfriend wake, jamaa kamualika kwenda uturuki kwa mshikaji likizo next month, jamaa lina pesa kweli.alafu demu kamdanganya jamaa hadi jina langu eti naitwa tomek(jina la kipolo) wakati jina langu john.
basi ikabidi nimwambie kuanzia siku ile mimi na yeye basi tena,demu hakulia sana kivile maana anajua sasa atakuwa yuko free na mshikaji,ila mimi kutokana na kutopenda uhongo na kumfunza adabu next time hasije akamfanyia mtu mwingine ujanja wake ule,basi nikamtumia message yule jamaa wake kumwambia kwamba mimi jina langu siyo tomek na nikamuelezea kila kitu na picha nikamtumia nikiwa na demu namla mate na mambo mengine.
sasa jamaa baada ya kujua demu kumbe chizi na muongo naye kamtosa sasa demu kachanganyikiwa eti anadai anajuta kwa nn hakunisiliza mimi na kuwa na mimi pekee.demu kurudi kwangu anataka ila milango ya moyo ishafungwa,jana kaniona na msichana mmoja nasoma nae hapa chuo demu kachanganyikiwa, akaja kwangu akanikumbatia huku analia mimi nikampotezea tu. basi mpaka leo sms haishi kunitumia kwenye simu mimi namjibu ila kama rafiki tu sio wapenzi tena.
sasa hivi ni kazi tu kwenda mbele na shule,pesa kwanza mapenzi baadae.asanteni kwa ushauri wenu waheshimiwa umeniokoa kwenye mdomo wa kifo.hehehhe
wiki iliyopita nilikutana na yule msichana niliyeomba ushauri kwenu kwenye post inayosema nimfanye nini huyu msichana. https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/158191-nimfanye-nini-huyu-msichana.html.
basi tulivyokutana nilimuomba afungue message kwenye facebook yake,duuh nilichokiona moyo ulikufa ganzi, maana wanaandikiana karibia kila siku mambo ya mapenzi na yule ex boyfriend wake, jamaa kamualika kwenda uturuki kwa mshikaji likizo next month, jamaa lina pesa kweli.alafu demu kamdanganya jamaa hadi jina langu eti naitwa tomek(jina la kipolo) wakati jina langu john.
basi ikabidi nimwambie kuanzia siku ile mimi na yeye basi tena,demu hakulia sana kivile maana anajua sasa atakuwa yuko free na mshikaji,ila mimi kutokana na kutopenda uhongo na kumfunza adabu next time hasije akamfanyia mtu mwingine ujanja wake ule,basi nikamtumia message yule jamaa wake kumwambia kwamba mimi jina langu siyo tomek na nikamuelezea kila kitu na picha nikamtumia nikiwa na demu namla mate na mambo mengine.
sasa jamaa baada ya kujua demu kumbe chizi na muongo naye kamtosa sasa demu kachanganyikiwa eti anadai anajuta kwa nn hakunisiliza mimi na kuwa na mimi pekee.demu kurudi kwangu anataka ila milango ya moyo ishafungwa,jana kaniona na msichana mmoja nasoma nae hapa chuo demu kachanganyikiwa, akaja kwangu akanikumbatia huku analia mimi nikampotezea tu. basi mpaka leo sms haishi kunitumia kwenye simu mimi namjibu ila kama rafiki tu sio wapenzi tena.
sasa hivi ni kazi tu kwenda mbele na shule,pesa kwanza mapenzi baadae.asanteni kwa ushauri wenu waheshimiwa umeniokoa kwenye mdomo wa kifo.hehehhe