Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Imenifanya nijiulize:
a. Inasababishwa na nini?
b. Inafikaje hadi mwanamme anamtwanga mumewe/mpenzi wake
c. Ukitwanga na mwanamke unaenda kushtaki au kumwambia mtu?
Nimesema hivi kwa sababu niliwahi kusoma kwenye maandiko mahali fulani kuwa "ni bora kukaa kwenye kona darini kuliko kukaaa kwenye nyumba pana na mwanamke mgomvi!"...
a. Inasababishwa na nini?
b. Inafikaje hadi mwanamme anamtwanga mumewe/mpenzi wake
c. Ukitwanga na mwanamke unaenda kushtaki au kumwambia mtu?
Nimesema hivi kwa sababu niliwahi kusoma kwenye maandiko mahali fulani kuwa "ni bora kukaa kwenye kona darini kuliko kukaaa kwenye nyumba pana na mwanamke mgomvi!"...