gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
Yaan utakuta mwanaume kaangaika sana, kimaisha, wengine mpaka wanapata majeraha makubwa, au wananusurika na vifo wakiahangaikia maisha. mungu si athumani anawajalia hawa waangaikaji vijipesa, vijigari, na hata vinyumba vingi so hawa watu wanakuwa tunasema matajiri.
sasa itatokea siku moja tu huyu mwanaume anasema nataka kuoa then anatafuta mwanamke anamuweka ndani, eti mali zinakuwa za wote wawili..kisa mke wake....
teh teh teh teh nimekaa nimefikiria sana naanza kukubaliana na usemi wanawake wameumbwa kuwaburudisha mwanaume. yaani utake usitake
sasa itatokea siku moja tu huyu mwanaume anasema nataka kuoa then anatafuta mwanamke anamuweka ndani, eti mali zinakuwa za wote wawili..kisa mke wake....
teh teh teh teh nimekaa nimefikiria sana naanza kukubaliana na usemi wanawake wameumbwa kuwaburudisha mwanaume. yaani utake usitake