Wanawake wajawazito wanajifungulia sakafuni Hospitali ya Buzurugwa

Mr Nyau

JF-Expert Member
Oct 18, 2018
1,128
2,338
Nimeona comment nyingi wanawake wanasema wanaporwa simu wanapoenda labor huko hospitali za serikali. Wanawapora simu sababu hii, hawataki watanzania waone kuwa in 2023 bado wanawake wanazalia sakafuni.. Hii ni hospitali ya Buzurugwa.

Wamama wanapeana zamu kuzaa sakafuni. Na hii ndo situation hospitali za serikali na wanaficha kwa kuwanyang’anya simu wamama ila kuna mama mmoja alienda na simu mbili wakachukua moja kumbe ingine kaificha ndo akachukua matukio. Huyu mama alikuwa kapata experience mbaya before so this time around akataka kuchukua ushahidi.

CCM Tanzania muogopeni Mungu in 2023 kweli bado wanawake wanazalia sakafuni? Hizo tozo mnapeleka wapi?
 
Tazama picha; wanawake wajawazito wakijifungulia chini Hospital ya buzurugwa
"Anaandika mange kimambi"

Nimeona comment nyingi wanawake wanasema wanaporwa simu wanapoenda labor huko hospitali za serikali. Wanawapora simu sababu hii,
hawataki watanzania waone kuwa in 2023 bado wanawake wanazalia sakafuni.. Hii ni hospitali ya Buzurugwa.... Wamama wanapeana zamu kuzaa sakafuni. Na hii ndo situation hospitali za serikali na wanaficha kwa kuwanyang’anya simu wamama ila kuna mama mmoja alienda na simu mbili wakachukua moja kumbe ingine kaificha ndo akachukua matukio. Huyu mama alikuwa kapata experience mbaya before so this time around akataka kuchukua ushahidi.

Sorry for this graphic photo....
View attachment 2845782

@ummymwalimu waziri huna faida yoyote ile. Na ingekuwa nchi zinazojielewa kwa hii picha tu siku ya leo ingebidi ujiudhuru ila kwa vile Tz hakuna accountability mtaendelea business as usual.

@ccmtanzania muogopeni Mungu in 2023 kweli bado wanawake wanazalia sakafuni? Hizo tozo mnapeleka wapi?
.
.
Hii picha nilitumiwa mwaka jana September nikaposti kwenye app. Watu wa app walilia machozi. I feel so bad why sikuiposti huku insta labda by now ningekuwa nimesaidia kitu. Anyways, better late than never.
.
Wanawake wanazalia sakafuni wao wanasiasa wanaendesha ma V8. V8 moja tu lingeweka vitanda hata 50 hapo.
.
.
INAFUTWA MAANA PICHA IKO VERY GRAPHIC..

TAJA HOSPITAL ZINGINE AMBAZO WANAWAKE WANAZALIA CHINI..
Jiji la Mwanza wamefikia wapi kuhusu ujenzi wa Hospital ya Jiji?

Mwisho nyie mnaopiga picha wamama Wakiwa uchi mnatakiwa kushtakiwa Kwa kuharibu privacy Yao
 
Tazama picha; wanawake wajawazito wakijifungulia chini Hospital ya buzurugwa
"Anaandika mange kimambi"

Nimeona comment nyingi wanawake wanasema wanaporwa simu wanapoenda labor huko hospitali za serikali. Wanawapora simu sababu hii,
hawataki watanzania waone kuwa in 2023 bado wanawake wanazalia sakafuni.. Hii ni hospitali ya Buzurugwa.... Wamama wanapeana zamu kuzaa sakafuni. Na hii ndo situation hospitali za serikali na wanaficha kwa kuwanyang’anya simu wamama ila kuna mama mmoja alienda na simu mbili wakachukua moja kumbe ingine kaificha ndo akachukua matukio. Huyu mama alikuwa kapata experience mbaya before so this time around akataka kuchukua ushahidi.

Sorry for this graphic photo....
View attachment 2845782

@ummymwalimu waziri huna faida yoyote ile. Na ingekuwa nchi zinazojielewa kwa hii picha tu siku ya leo ingebidi ujiudhuru ila kwa vile Tz hakuna accountability mtaendelea business as usual.

@ccmtanzania muogopeni Mungu in 2023 kweli bado wanawake wanazalia sakafuni? Hizo tozo mnapeleka wapi?
.
.
Hii picha nilitumiwa mwaka jana September nikaposti kwenye app. Watu wa app walilia machozi. I feel so bad why sikuiposti huku insta labda by now ningekuwa nimesaidia kitu. Anyways, better late than never.
.
Wanawake wanazalia sakafuni wao wanasiasa wanaendesha ma V8. V8 moja tu lingeweka vitanda hata 50 hapo.
.
.
INAFUTWA MAANA PICHA IKO VERY GRAPHIC..

TAJA HOSPITAL ZINGINE AMBAZO WANAWAKE WANAZALIA CHINI..
Kama sehemu ambayo inabidi ipewe kipaumbele basi ni kuboresha huduma ya wamama wajawazito , serikali ilitazame kwa ukaribu .
 
Nimeogopa. Namshukuru Mungu kwa maisha yangu kwakweli sijawahi pitia huko. Hali kama hiyo huyo aliyewekwa kitandani ukute ameshatoa chochote kitu. Hosptali za serikali zinakatisha tamaa kuzikaribia
 
Nimeogopa. Namshukuru Mungu kwa maisha yangu kwakweli sijawahi pitia huko. Hali kama hiyo huyo aliyewekwa kitandani ukute ameshatoa chochote kitu. Hosptali za serikali zinakatisha tamaa kuzikaribia
Hajatoa chochote nakuhakikishia
Hali ipo hivyo kwenye vituo vya afya, Labor kuna kitanda kimoja ,wamama wanaojifungua wapo watatu, mwingine anakuja tayari uchungu ushakolea,mtoto ashatoa kichwa wakati huo kitandani kuna mama nae anajifungua, utafanyaje kwenye Hali kama hiyo Zaidi ya kumuweka chini
Ukweli Ni kwamba huduma za afya bado Ni changamoto kweli kweli, watumishi wachache,miundombinu mibovu, ila watu wanachoangalia Ni kuwaangushia lawama watumishi huku wakiacha serikali.
 
Hajatoa chochote nakuhakikishia
Hali ipo hivyo kwenye vituo vya afya, Labor kuna kitanda kimoja ,wamama wanaojifungua wapo watatu, mwingine anakuja tayari uchungu ushakolea,mtoto ashatoa kichwa wakati huo kitandani kuna mama nae anajifungua, utafanyaje kwenye Hali kama hiyo Zaidi ya kumuweka chini
Ukweli Ni kwamba huduma za afya bado Ni changamoto kweli kweli, watumishi wachache,miundombinu mibovu, ila watu wanachoangalia Ni kuwaangushia lawama watumishi huku wakiacha serikali.
Lawama ni kwa serikali maana mtumishi hana kosa lolote hapo. Yeye anachojitahidi ni mama na mtoto wawe salama, mazingira gani ndio mpambane na hali
 
wizara_afyatz-18-12-2023-0001.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom