Nimeona comment nyingi wanawake wanasema wanaporwa simu wanapoenda labor huko hospitali za serikali. Wanawapora simu sababu hii, hawataki watanzania waone kuwa in 2023 bado wanawake wanazalia sakafuni.. Hii ni hospitali ya Buzurugwa.
Wamama wanapeana zamu kuzaa sakafuni. Na hii ndo situation hospitali za serikali na wanaficha kwa kuwanyang’anya simu wamama ila kuna mama mmoja alienda na simu mbili wakachukua moja kumbe ingine kaificha ndo akachukua matukio. Huyu mama alikuwa kapata experience mbaya before so this time around akataka kuchukua ushahidi.
CCM Tanzania muogopeni Mungu in 2023 kweli bado wanawake wanazalia sakafuni? Hizo tozo mnapeleka wapi?
Wamama wanapeana zamu kuzaa sakafuni. Na hii ndo situation hospitali za serikali na wanaficha kwa kuwanyang’anya simu wamama ila kuna mama mmoja alienda na simu mbili wakachukua moja kumbe ingine kaificha ndo akachukua matukio. Huyu mama alikuwa kapata experience mbaya before so this time around akataka kuchukua ushahidi.
CCM Tanzania muogopeni Mungu in 2023 kweli bado wanawake wanazalia sakafuni? Hizo tozo mnapeleka wapi?