Entrepreneur
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 1,087
- 620
Wanawake wa Uganda wamechachamaa, kwa kupinga mwenzao (Ingrid), kushikwa matiti wakati anakamatwa na polisi kwa kutembea kifua wazi. Tukio hili la aina yake limevuta hisia za wengi na limenikumbusha sakata la mgomo wa madaktari na arrest ya kina A.Nkya na wenzake, hasa baada ya kushikwa sehemu sehemu, tena na askari wa kiume. Angalia video hii
Wanawake wanaweza
Wanawake wanaweza
Last edited by a moderator: