The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Anasound kama Kifungilo type huyo..
Kifungilo type zikoje?
just curious....
Anasound kama Kifungilo type huyo..
Kifungilo type zikoje?
just curious....
Anasound kama Kifungilo type huyo..
wewe waombe masista radhi, kifungilo walikuwa hawaendi dates bar! Hata mtoto wa kifungilo akija bar hakupi presha, kwanza anakunywa soda tu. Ngoma ni namba za town,
Ha ha haa nilikuwa sijui hili
any uliothibitisha?
Oh yes, ithibati zipo.
Lakini SRSS na Aga Khan Mzizima hakukuwa na micharuko bana.
Labda unambie Kinondoni Muslim, Zanaki, Jangwani, Makongo, na Al-Aramain
Lakini SRSS na Aga Khan Mzizima hakukuwa na micharuko bana.
Labda unambie Kinondoni Muslim, Zanaki, Jangwani, Makongo, na Al-Aramain
<BR><BR>Hivi wewe wastani wa kuingia kifungilo unaujua? Linganisha na upeo wangu! Ila i realy wish nimgesoma bush huko, ningeepukwa na mengi sana ya jiji hili, ningekwa nasali zangu, maybe nimeolewa na watoto 2 tayari. Sema ndo no matter where you run your past will always find you! Umenifanya niwaze ningesoma kifungilo ningekuwa wapi?<BR>na mimi nahisi hii ni kifungilo aisee lol
unataka single ladies wakae nyumbani wafanye nini?? enjoy life while you can, hayo ya watoto yatakuja after 10 pm
:hat::hat::hat:hayo mashankupe ya Magomeni unayoyatumia huu ujumbe.....yamo humu JF.....?
Alaaniwe afukuzae viburudisho vya ODM, wanywaji wote na waseme Amina.yaprintie eti! wewe huli nyama choma Asprin njoo kuna mtu anafukuza viburudisho vyako kaunta
<BR><BR>Hivi wewe wastani wa kuingia kifungilo unaujua? Linganisha na upeo wangu! Ila i realy wish nimgesoma bush huko, ningeepukwa na mengi sana ya jiji hili, ningekwa nasali zangu, maybe nimeolewa na watoto 2 tayari. Sema ndo no matter where you run your past will always find you! Umenifanya niwaze ningesoma kifungilo ningekuwa wapi?<BR>
Umesahau kusema after 10pm nyuma ya bar ama uvunguni mwa gari wakati watu wanalewa. Mademu wengi siku hizi wanapenda kufanya ngono chini ya magari, kwenye gari, vibanda vya kuku kule kwenye bar, viwanja vya mpira, ama kushikishwa minazi na miembe wakati guest zimejaa kibao.
Mtoa mada. . .
Kupika wengine hawapendi, hawajui wala hawataki kujifunza. Sasa mtu kama huyo akiwa single/mwenzi wake hajali unadhani atalala na kushinda njaa?Au pengine wako kibiashara zaidi, huwezi jua maana kama hana mwanaume wa kumpikia basi inawezekana kabisa anamtamani na hapo ndo kaona atamkwapua.
LOL that's a hyper link.Umesahau kusema after 10pm nyuma ya bar ama uvunguni mwa gari wakati watu wanalewa. Mademu wengi siku hizi wanapenda kufanya ngono chini ya magari, kwenye gari, vibanda vya kuku kule kwenye bar, viwanja vya mpira, ama kushikishwa minazi na miembe wakati guest zimejaa kibao.