adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,476
- 4,269
Yaani mnamkuta mdada.. Asubuhi akiamka yuko Bar anakula supu mchana Bar tena chips jioni yuko ktk pedicure n manicure anajiandaa na mtoko. Usiku ukiingia yuko Bar tena nyama choma na bia. Sasa unajiuliza hivi huyu anapika saa ngapi? Anafanya usafi saa ngapi? Ukimuoa mdada kama huyu si unajiandalia ugonjwa wa moyo? Je ataleaje watoto? Au ndo walewale anamnyonyesha wiki 1 then maziwa ya kopo yanahusika. Ndo wonda mitoto ya siku hizi vichwa maji cz tangu tumboni keshakunywa bia viroba konyagi maziwa ya kopo ya kutosha. Badilikeni dadazangu! Othawize mtamegwa sana na minjemba.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums