Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
unazungumzia mikoa gani na ni mji gani unaouzungumzia?Nimegundua tatizo moja kubwa sana la wanawake wa mikoani..hawajiamini kabisa wanapokuja Mjini. Ivi hii inasababishwa na nini?
unazungumzia mikoa gani na ni mji gani unaouzungumzia?Nimegundua tatizo moja kubwa sana la wanawake wa mikoani..hawajiamini kabisa wanapokuja Mjini. Ivi hii inasababishwa na nini?
Mkoani stars (jackline wolper na irene uwoya) vs Donta stars (wema sepetu na jokate)....mjini ni mjini labda na wa mjini wakienda mkoani wanaonekana hawajiamini kwani mtu kwao!
siyo wote bana,
hata hapa bongo wapo ambao hawajiamini hivyo hivyo.
hawajiamini ile miezi ya mwanzo...wape miezi 6 uone..wanawake wa bongo utakuta wana afadhali
unazungumzia mikoa gani na ni mji gani unaouzungumzia?
mi ndo maana huwa nampenda Masanja akisema, oooh nimekulia osheni rodi, watu wanatoka Ubaruku wanakuja ku-run town vile vile.
Sioni shida ya kutoa shingo nje kuhakiki kama ramani ya unapoenda iko sawa hasa kama uko mgeni maeneo hayo. Sijapata Logic kwa kweli.
ala! Kwahy si wa kwa mromboo kumbe wa bushiMjini inaishia Mbezi/kimara.
uko kwenye daladala umekaa siti moja na binti kutoka Sanya juu..mnatoka k/koo mmepanda gari za mwenge,mmefika sinza/mugabe binti wa sanya juu ananyoosha nyoosha kishingo chake,unaona kabisa anahisi kakaribia alipofikia ila kashasahau jina la kituo,ila kuuliza anakuonea aibu utamstukia wakuja..nawe ushamstukia jinsi anavyoangaika mpaka jasho linamtoka,tumeigusa kumekucha shingo inazidi kuangaika...anakutupiatupia kajicho kakuiba kama umemgundua,we kimya uko bize na ipad yako kama ujamstukia vile,jinsi ulivyo relax unazidi kumpa presha...
Kwa situation kama hii,mtu akikuomba umsaidie kumfahamisha kwamba kashafika remmy, atapungukiwa nini..
ala! Kwahy si wa kwa mromboo kumbe wa bushi
hawajiamini kwa mda ila wakishalijua jiji wanakua zaidi ya wazawaNimegundua tatizo moja kubwa sana la wanawake wa mikoani..hawajiamini kabisa wanapokuja Mjini.
Ivi hii inasababishwa na nini?
uko kwenye daladala umekaa siti moja na binti kutoka Sanya juu..mnatoka k/koo mmepanda gari za mwenge,mmefika sinza/mugabe binti wa sanya juu ananyoosha nyoosha kishingo chake,unaona kabisa anahisi kakaribia alipofikia ila kashasahau jina la kituo,ila kuuliza anakuonea aibu utamstukia wakuja..nawe ushamstukia jinsi anavyoangaika mpaka jasho linamtoka,tumeigusa kumekucha shingo inazidi kuangaika...anakutupiatupia kajicho kakuiba kama umemgundua,we kimya uko bize na ipad yako kama ujamstukia vile,jinsi ulivyo relax unazidi kumpa presha...
Kwa situation kama hii,mtu akikuomba umsaidie kumfahamisha kwamba kashafika remmy, atapungukiwa nini..
Mi sijakuelewa unaposema mjini! Mikoani ni wapi, na huo mji usiokua na hadhi ya kimkoa ni wapi ?
Ama unamaanisha kwa wanaotoka mikoani kwenda kwenye kulipopewa hadhi ya city ?
Hata hivyo city, haiwi city kama sehemu hiyo haijafikia hadhi ya mkoa!
Natatizika kiasi flani.
na mimi wa kwenye jiwe hahahaEti unamaanisha ni kwa wale mabinti wa kutoka Sanya Juu? Canta, Mamndenyi na Lizzy hebu jibuni hizi tuhuma kwa niaba ya Watu wa Sanya Juu na Lawate...
na mimi wa kwenye jiwe hahaha
hata binti wa kurasini akienda sinza anaweza kunyoisha shingo, na wa sinza akienda mbagala anaweza kunyoosha shingo ^^^^^^^hii maana yake si mwenyeji wa eneo hilo................ Haina maana kuwa wakuja
anyway huo ndo mtazamo wangu, acha waje wenyewe wajieleze
jamani si nimeishakuambia Mjini inaishia Mbezi..!!
Kwani we unatokea wapi judge?