Wanawake wenye muonekano wa kawaida wanaolewa sana sijui kwanini

UTAMWOAJE MWANAMKE AMBAYE

🔷 Nyele ni fake

🔷 Nyusi ni fake

🔷 Kope ni fake

🔷 Meno ni fake

🔷 Kucha ni fake

🔷 Mboni ya jicho ni fdke

🔷 Wowowo na tumbo ni fake za kigiriki

🔷 Ngozi ni fake imefanyiwa skimming na marangi kama nyumba inayotaka kupigwa rangi

🙆TABIA LAZIMA ITAKUWA FAKE. ULOKOTE NDUDE LA HIVYO UPELEKE NYUMBANI USEM
E UMEPATA MKE WA KUSAIDIANA WAKATI WA SHIDA NA RAHA? LENYEWE LINATAKA RAHA KILA SIKU NA LINATAKA LIONEKANE LISHITACHA KILA SIKU NA KUWA KAMPANI NA MAGUMEGUME YADIYOOLEKA HUKU LIMEOLEWA
 
Hawa pisi kali wanaogopwa balaa. Wanaume huwaogopa kuwaoa kwa sababu kila mwanaume huwataka hata kuwachezea tu. Wanaume wanaona ukioa mwanamke mzuri utaolea kijiji/mtaa. Wanaonekana kama hawajatulia ni malaya.
 
Kuna jamaa yangu mmoja aliishia kuchekwa kwenye harusi yake baada ya kuoa mwanamke wa kawaida asiyevutia wengi. Nilimuuliza kulikoni kuoa mwanamke wa hivyo wakati awali alipendelea wanawake wazuru warembo. Alinijibu kaoa wa kawaida asiye na mvuto kwa wanaume hata akisafiri hakuna mwanaume atatamani kwenda kupakua mzinga wake
 
Mi mwenyewe ni mwanaume mpenda pisi kali ila kadri ya umri unavyokwenda naanza kubadili mtazamo. Nimeanza kupenda wanawake wa kawaida wasio na mvuto kwa shingo upande. Kwanza hawaringi ukiwatokea wanakupokea fasta, wanaona ni bahati na wao kupendwa. Ila hao wanawake wa kawaida wana wanaume type yao wa kuwapenda. Kuna wanaume hawajui pisi kali wala pollygon, wao mwanamke ni mwanamke tu
 
Mi mwenyewe ni mwanaume mpenda pisi kali ila kadri ya umri unavyokwenda naanza kubadili mtazamo. Nimeanza kupenda wanawake wa kawaida wasio na mvuto kwa shingo upande. Kwanza hawaringi ukiwatokea wanakupokea fasta, wanaona ni bahati na wao kupendwa. Ila hao wanawake wa kawaida wana wanaume type yao wa kuwapenda. Kuna wanaume hawajui pisi kali wala pollygon, wao mwanamke ni mwanamke tu

Hahaha
 
UTAMWOAJE MWANAMKE AMBAYE

🔷 Nyele ni fake

🔷 Nyusi ni fake

🔷 Kope ni fake

🔷 Meno ni fake

🔷 Kucha ni fake

🔷 Mboni ya jicho ni fdke

🔷 Wowowo na tumbo ni fake za kigiriki

🔷 Ngozi ni fake imefanyiwa skimming na marangi kama nyumba inayotaka kupigwa rangi

🙆TABIA LAZIMA ITAKUWA FAKE. ULOKOTE NDUDE LA HIVYO UPELEKE NYUMBANI USEM
E UMEPATA MKE WA KUSAIDIANA WAKATI WA SHIDA NA RAHA? LENYEWE LINATAKA RAHA KILA SIKU NA LINATAKA LIONEKANE LISHITACHA KILA SIKU NA KUWA KAMPANI NA MAGUMEGUME YADIYOOLEKA HUKU LIMEOLEWA
Unakuwa umeoa mdori.......😀😀
 
Wanawake wenye muonekano wa kawaida huwa wanaingia kwenye ndoa na zinadumu sana sijui kwa nini, Angalia hata wake za marais hawanaga mambo mengi , hawa maslayqueen sijui wana tatizo gani

Hata wake za matajiri chunguza utaona
Tatizo na wewe unalijua sema unatutafuta maneno tu
 
UTAMWOAJE MWANAMKE AMBAYE

🔷 Nyele ni fake

🔷 Nyusi ni fake

🔷 Kope ni fake

🔷 Meno ni fake

🔷 Kucha ni fake

🔷 Mboni ya jicho ni fdke

🔷 Wowowo na tumbo ni fake za kigiriki

🔷 Ngozi ni fake imefanyiwa skimming na marangi kama nyumba inayotaka kupigwa rangi

🙆TABIA LAZIMA ITAKUWA FAKE. ULOKOTE NDUDE LA HIVYO UPELEKE NYUMBANI USEM
E UMEPATA MKE WA KUSAIDIANA WAKATI WA SHIDA NA RAHA? LENYEWE LINATAKA RAHA KILA SIKU NA LINATAKA LIONEKANE LISHITACHA KILA SIKU NA KUWA KAMPANI NA MAGUMEGUME YADIYOOLEKA HUKU LIMEOLEWA
Hapo na akili ni fake. Mbona unaogopa kusema na hilo?

Wanachoweza hao ni kufuga tu zivu. Jinga kabisa
 
UTAMWOAJE MWANAMKE AMBAYE

🔷 Nyele ni fake

🔷 Nyusi ni fake

🔷 Kope ni fake

🔷 Meno ni fake

🔷 Kucha ni fake

🔷 Mboni ya jicho ni fdke

🔷 Wowowo na tumbo ni fake za kigiriki

🔷 Ngozi ni fake imefanyiwa skimming na marangi kama nyumba inayotaka kupigwa rangi

🙆TABIA LAZIMA ITAKUWA FAKE. ULOKOTE NDUDE LA HIVYO UPELEKE NYUMBANI USEM
E UMEPATA MKE WA KUSAIDIANA WAKATI WA SHIDA NA RAHA? LENYEWE LINATAKA RAHA KILA SIKU NA LINATAKA LIONEKANE LISHITACHA KILA SIKU NA KUWA KAMPANI NA MAGUMEGUME YADIYOOLEKA HUKU LIMEOLEWA
Duuh
 
Kuna jamaa yangu mmoja aliishia kuchekwa kwenye harusi yake baada ya kuoa mwanamke wa kawaida asiyevutia wengi. Nilimuuliza kulikoni kuoa mwanamke wa hivyo wakati awali alipendelea wanawake wazuru warembo. Alinijibu kaoa wa kawaida asiye na mvuto kwa wanaume hata akisafiri hakuna mwanaume atatamani kwenda kupakua mzinga wake
Haya mambo hayana uhusiano wowote,kama mwanamke anatabia ya uhuni awe mrembo au kawaida atafanya uhuni, tabia ya mtu haiwezekani ikawa determined na muonekano wa nje
 
Mi mwenyewe ni mwanaume mpenda pisi kali ila kadri ya umri unavyokwenda naanza kubadili mtazamo. Nimeanza kupenda wanawake wa kawaida wasio na mvuto kwa shingo upande. Kwanza hawaringi ukiwatokea wanakupokea fasta, wanaona ni bahati na wao kupendwa. Ila hao wanawake wa kawaida wana wanaume type yao wa kuwapenda. Kuna wanaume hawajui pisi kali wala pollygon, wao mwanamke ni mwanamke tu
Mchagua jembe si mkulima
 
Back
Top Bottom