Wanawake wa kingoni kutoka Songea wanasifa gani?

Mallaba

JF-Expert Member
Jan 30, 2008
2,554
47
Salam wana MMU.

Nimekuwa nikifatilia kwa karibu sana sifa na changamoto kemkem za makabila mbalimbali ya tz.

Napenda kuulizia kuhusu wanawake wa kingoni wakoje kwa ujumla? Sina nia mbaya jamani bali ningependa tu kujua wasifu wao.

Shukrani
 
hawa ni waongeaji sana na huwa hawakubali kushindwa katika kubishana jambo fulani. pia ni wadadisi. sifa nyingine ni wakarim na wenye huruma kwa kila mtu. ukiwakorofisha imekula kwako
 
Karne hii na kizazi hiki cha Computer watu bado tunajadili ukbila jamani!So what and for how long?Tujadili mambo muhimu wazee.
 
Niwajuavyo wangoni, sana sana wale waliofundwa ni waungwana na wana utu.Most of them are real wife material.....this is from my own personal experience.Hujawahi kuona heshima ya hawa "wanyemba" na wakunyumba na wala siyo hawa wa kizazi kipya cha mijini!!!
 
HAHAHAH , uchafu ni hurka ya mtu na wala c kabila, mie ni mngoni na mambo muhimu niliyofundishwa though nimezaliwa mjini na kukulia mjini ni kuwa mwanamke mkamilifu nikimaanisha mambo muhimu yote ambayo mwanamke anatakiwa kufanya yeye kama mwanamke.
 
Nawapenda walivyo watulivu nimedate wangoni watatu,ila hawakunivutia as wife material,wana tabia za uvivu.
 
mambo muhimu kama yapi? hili pia ni la muhimu mana tunaelimishana , kujua sifa za kabila fulani ni muhimu ili mtu utakayekuwa nae asikusumbue
 
Baba akitoka na mama anatoka, wanakutana kilabuni kila mtu ana mtu mwingine. Wakirudi haisumbui watoto wamekula nini wameoga au vipi; hao ni wa interior.

Wa mjini wanajitahidi kidogo ila la multiple lovers linabaki. Ninapenda ucheshi na ukarimu wao; ni watu muhimu kwenye shughuli (harusi, komunio na misiba) huchangamsha sana hasa mnapokuwa watani!
 
Back
Top Bottom