Wanawake wa kingoni kutoka Songea wanasifa gani?

tatizo lingine la wangoni siyo wazuri sana kunako 6x6 na ndiyo maana hata wakiona wao mwanaume lazima awenakidumu kingine kwa ajiri ya kukata kiu maana akitengemea home hapewi
 
mkuu mallaba hawa wanawake ambao wadau wanakupa sifa zao ni wale waliopo kulekule songea, au kama ni hapa mjini basi ni wale kweli wanazohusudu mila za kingoni na hivyo wanaendelea kuzifata, lakini wengine wenzangu na mimi hawa wa dar, hasa wale walioishi mijini mda mrefu wala hawana sifa za kingoni hizi, wengi ni pure wazaramo kisifa na watandawazi zaidi...so kama unayemuulizia yupo dar kitambo imekula kwako, ni mngoni wa jina tu but kiuhalisia sio mngoni
 
Hakuna mtu anayejadili ukabila wa mtu,hivi ni vitu vya kawaida kabisa kujadili maisha,tabia na mazingira ya jamii mnayoishi nayo.Mfano ukiwa China wananchi wa Shanghai ni tofauti kabisa na watu wa Beijing,Hongkong;etc na ukiwakuta hata vyakula wanavyopendela ni tofauti,hivyo tabia na kila kitu kiujumla ni tofauti kati yao, je kwanini isiwe na utofauti katika haya makabila 120? We are just curious to understand btn ourselves wala sio kwa nia mbay

Unanchekesha. Source FF
 
Nimecheka kweli nimekuja kureliase mtu wangu.anatabia izo hapo juu
-ukimuuzi hasamei kirahisi
-mbishi hakubali kushindwa wala kosa
-Muongeaji sana, mpaka unataka mziba mdomo
-Anajaribu kucontrol lakini kachemka.
-Kiburi na Jeuri
- Na yupo hapa mjini kasomea hapa mjini.
- mmh wangoni kazi kumbe.
 
Baba akitoka na mama anatoka, wanakutana kilabuni kila mtu ana mtu mwingine. Wakirudi haisumbui watoto wamekula nini wameoga au vipi; hao ni wa interior.

Wa mjini wanajitahidi kidogo ila la multiple lovers linabaki. Ninapenda ucheshi na ukarimu wao; ni watu muhimu kwenye shughuli (harusi, komunio na misiba) huchangamsha sana hasa mnapokuwa watani!

kwenye pombe utakuwa unawasema ndugu zangu wa kulee iramba!
 
Nimecheka kweli nimekuja kureliase mtu wangu.anatabia izo hapo juu
-ukimuuzi hasamei kirahisi
-mbishi hakubali kushindwa wala kosa
-Muongeaji sana, mpaka unataka mziba mdomo
-Anajaribu kucontrol lakini kachemka.
-Kiburi na Jeuri
- Na yupo hapa mjini kasomea hapa mjini.
- mmh wangoni kazi kumbe.

qulities za kichaga na kipare too.
 
People whose ministry of brains are invaded and destroyed by less thinking causing virus always behaves like a cockroach
 
Back
Top Bottom