Wana heshima sana, wanafanya kazi, na ni non-dependants on men, ni ma'beutiful sana piaWapole, waoga, wenye upendo, wazuri, zamani ilizoeleka kuwa ni wachafu jambo ambalo sidhani kama ni kweli kweli.
NImesimuliwa kuwa kuna precedents nyingi tu ambapo wanawake wa kabila hili wamezalia shambani, kwa maana kuwa mama mjamzito anafanya kazi hadi siku ya kujifungua.wachapa kazi sana, hata akiwa na mtoto wa siku 7 anaenda shamba,
siyo wachoyo, na nyingi sifa kibao nitarudi kwako.
NImesimuliwa kuwa kuna precedents nyingi tu ambapo wanawake wa kabila hili wamezalia shambani, kwa maana kuwa mama mjamzito anafanya kazi hadi siku ya kujifungua.
pole ndg, wanawake wa kisafwa ni wachawi, wanaua wanaume, hawazai (wagumba), wachoyo, wazinzi, waongo, wavivu, wachafu, roho mbaya, wagomvi, matusi kwao ni salamu, wananuna, wanapenda hela kuliko mme na sifa zingine zoote mbaya unanazozijua wanazo! mkabila umeridhika eh?
... nyambafu!
Kwani wee kabila gani ??pole ndg, wanawake wa kisafwa ni wachawi, wanaua wanaume, hawazai (wagumba), wachoyo, wazinzi, waongo, wavivu, wachafu, roho mbaya, wagomvi, matusi kwao ni salamu, wananuna, wanapenda hela kuliko mme na sifa zingine zoote mbaya unanazozijua wanazo! mkabila umeridhika eh?
... nyambafu!
Wanawake wakisafwa kwanza ni wachapa kazi, waoga,warembo, si wacha mungu sana,asilimia kubwa hutumia pombe za asiri hasa dadii, pia ni waaminifu sana na wengi wao huanzia mapenzi kwenye ndoa, shughuri yao kuu ni kilimo cha mahindi ,viazi mviringo na maharage.naombeni msaada jamani kabila la wasafwa wenyeji wa mkoa wa Mbeya,wanawake wa kabila hilo wana sifa gani,ni muhimu kwangu naomba msaada wana JF nawasilisha
Kuna kama kaukweli flani hivi,TPC moshi wpo wengi kweliWapole, waoga, wenye upendo, wazuri, zamani ilizoeleka kuwa ni wachafu jambo ambalo sidhani kama ni kweli kweli.
MSAFWA WA ARUSHA..... UMEADIMIKA SANANImesimuliwa kuwa kuna precedents nyingi tu ambapo wanawake wa kabila hili wamezalia shambani, kwa maana kuwa mama mjamzito anafanya kazi hadi siku ya kujifungua.
Weee ombaomba ndo maana wawaona wachoyo. Bila Shaka mnyakyusa weweNi wachafu, tena wachoyo ila niwachapa Kazi sana..
Wanawake wakisafwa kwanza ni wachapa kazi, waoga,warembo, si wacha mungu sana,asilimia kubwa hutumia pombe za asiri hasa dadii, pia ni waaminifu sana na wengi wao huanzia mapenzi kwenye ndoa, shughuri yao kuu ni kilimo cha mahindi ,viazi mviringo na maharage.