Donpela JF-Expert Member Jun 30, 2011 2,040 591 Dec 17, 2012 #41 Advise,, Ladies take it easy,, that's your face Not a colouring book
sigachuma JF-Expert Member Jun 8, 2011 233 29 Dec 17, 2012 #42 Wa kwanza kulia utadhan Ana undugu na sokwe au king kong vile
JosephElly JF-Expert Member Jun 5, 2012 2,432 1,034 Dec 18, 2012 #43 Khaaa... Sasa wanautamani u albino au?
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 18, 2012 #44 a.k.a uzuri wa dukani, kuna mdhungu alienda kumtambulisha demu wa kibongo kwao wakarudi tz, yule demu akaanza kujikoboa, yule mdhungu aliporudi kwa ndoa akakuta demu kawa white akamwambia nilipokutambulisha kwa wazazi wangu hukua hivi thus watasema nimeleta mwingine..................akambwaga
a.k.a uzuri wa dukani, kuna mdhungu alienda kumtambulisha demu wa kibongo kwao wakarudi tz, yule demu akaanza kujikoboa, yule mdhungu aliporudi kwa ndoa akakuta demu kawa white akamwambia nilipokutambulisha kwa wazazi wangu hukua hivi thus watasema nimeleta mwingine..................akambwaga
Tresor Mandala JF-Expert Member Aug 20, 2010 37,690 79,114 Dec 18, 2012 #45 ..huyo wa kati hapo...aisee..
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Nov 13, 2009 43,707 60,767 Dec 18, 2012 #46 Yo Yo said: Huyo wa kulia ndiyo yule vuvuzela wetu hapa jamvini Click to expand...
Mwanamalundi JF-Expert Member Aug 30, 2007 3,125 1,432 Dec 18, 2012 #47 aisee, this issue is very serious
D Diana Joseph Member Jul 22, 2011 11 1 Dec 18, 2012 #48 Mmmmh kila mtu na life yake , inaelekea ww mbea sana na mambo ya watu ya kwako nani anachunguza? Hapa n mjini fata mambo yako ,
Mmmmh kila mtu na life yake , inaelekea ww mbea sana na mambo ya watu ya kwako nani anachunguza? Hapa n mjini fata mambo yako ,
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Feb 20, 2012 7,113 930 Dec 18, 2012 #51 Diana Joseph said: Mmmmh kila mtu na life yake , inaelekea ww mbea sana na mambo ya watu ya kwako nani anachunguza? Hapa n mjini fata mambo yako , Click to expand... Hahaha.......nahisi ni mmoja wa hao mashori...why uchukie lol?
Diana Joseph said: Mmmmh kila mtu na life yake , inaelekea ww mbea sana na mambo ya watu ya kwako nani anachunguza? Hapa n mjini fata mambo yako , Click to expand... Hahaha.......nahisi ni mmoja wa hao mashori...why uchukie lol?