Mao ze dong
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 941
- 1,006
- Thread starter
- #61
Ehhh unampa zawadi halafu anakupa ahsante kavu kavu !! njoo kwangu mwaya..me ntakupa mbichi mbichi...
Naskia Zinakuaga tamu sana zikia mbich. Ni pm niifate uliko
Ehhh unampa zawadi halafu anakupa ahsante kavu kavu !! njoo kwangu mwaya..me ntakupa mbichi mbichi...
waambie ndo haohao binti akimua asimuombe kitu na akitafuta pedeshee la kumpa pesa anaanza kulalama
ebana tupo ofisi moja nn?nasi tunaye mmoja kisirani hadi kwe mawazo yakekila mwanamke anatamn sana kuolewa ni ukweli huu.... Sijawah ona mdada mtu mzima then hajaolewa akiwa na true happynes mfano ofisin kuna sister mmoja anapesa boss she is running 36 nw, hajaolewa ni kisirani hataree... Kanuna muda wote
ebana tupo ofisi moja nn?nasi tunaye mmoja kisirani hadi kwe mawazo yake
ila huyo namba 5 ndo mwanamke anayefaa kuolewa amini usiamini....!!!!!
Baa ndo kwenye kumbi za sherehe sasa tukavalishane wapi?
Hahaha...haya, mvalishane wakati hata wazazi wa pande mbili hawajuani..then usubiri ndoa..hiyo ndoa ikija natembea na boksa (chupi) posta mpya...teh!
The big problem of being a good boy is that bad boys always get girls. Ukiwa umetulia unapata wabawake hawaelewek unajarb kuwajal lakini wap. Apo chukua huduma usepe usije poteza vyote
Kwa nini? Wala sifuti kauli...!
siachi ng'oo, liwalo na liweya kweli yote, wajirekebishe tafadhali walioguswa wote
Maisha ya sasa ni TUNACHEZEANA.....
Anayechezewa ni BIKRA tu ....ikishatolewa akija mpenzi mwingine ni mnachezeana...
Wanaume wa sasa ni waoga wa majukumu ! Salaleeee!!
Baa ndo kwenye kumbi za sherehe sasa tukavalishane wapi?