AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
Lakini Asha D,
tatizo sasa la minuno hii,
kunakuwa na kutokuwajibika kwenye ku do!
ndo yale yale , unasikia tu unaambiwa, bwana eeee wewe endelea,
ukimaliza niambie.....lol......!!!!!!!!
lol.......lol.........lol.......lol........
Bacha kama ni mkeo/galfriend tena wa mda mrefu ina maana unajua
weakness spot zake katika huo mchezo... na kama kweli unamjua utatumia
utundu wako woote mpaka she will be gagging for it... yaani kakuruhusu
endelea alafu unasema nini..... Hapo ndo unaonesha uanaume wako kama
kweli wamuweza... na kama wewe ni mzee wa malavidavi...