Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,059
- 6,716
Tatizo la mwanaume ambaye hajasoma ni inferiority complex....yani hapo tu....hawajiamini,walalamishi,wana gubu si kidogo
ndio ukweli kuna siku anaweza kusema leo usiende kazin ukienda utahamia huko kwa bosi wako ilimradi tu aonekan ana sauti kuwa basi na sauti vitu vya maana