nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
mpolee inaelekea hii dhambi ya zinaa unayoifanya inakutesa sasa unataka kuangalia kama na wasichana wenzio wanafanya? ili upunguze machungu uone ni jambo la kawaida kumbe na wengine wanafanya pia
kwa ushauri seriasly
personaly kwa age ya miaka chini ya 20 msichana kuanza zinaa sio jambo jema kabisa.
by that age upo shule ,wala huwezi kuwa na mahusiano ya ukweli ndo ivo tu unapalilia pepo la umalaya katika usichana wako
mimi smile naapa chini ya mbingu nimeanza zinaa juzi tu chuo mwaka wa mwisho na yakanishinda vilevile,wala sikuona faida zaidi ya machungu.kiukweli sidhani kama kuna faida katika kubadilisha wanaume ovyo.hata kama ashiki imekuzidi.kuna mbinu mbadala.
kuwa na mahusiano sio lazima usex.sex sio maisha.utatembea na wangapi wewe.? tuliza mwili wako mtoto.just imagin unalal;a na watu hata hawakupendi wanakubinua mara huku mara kule kisa?
craaaap
my body is not reachable to fek item
craaaaaaaaaaap
Siku ile utakuwa ulipiga makele wakati wanaivunja raha iliyoje kuvunja bikra