Golden Mpoleeee
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 572
- 206
Wanawake wengi tumekua malaya bila kujijua. zamani bibi zetu walikua wakisubiri waolewe na wawe waaminifu kwa waume zao. sasa ukibikiriwa na miaka 15 mpaka uolewe wakati una miaka 30 si unakua umetembea na wanaume km 50 hivi?
Hivi mwanamke anaejiuza na ni 1st class hooker aka anatembea na watu wakubwa tu na kulipwa pesa kwa $ na kufanya maendeleo na yule ambae kila wk ana boyfriend mpya, kila wanaume wakimmega wanamtelekeza yupi bora?
Nataka nijue mwanamke malaya ana vigezo gani?
Golden Mpoleee.
Hivi mwanamke anaejiuza na ni 1st class hooker aka anatembea na watu wakubwa tu na kulipwa pesa kwa $ na kufanya maendeleo na yule ambae kila wk ana boyfriend mpya, kila wanaume wakimmega wanamtelekeza yupi bora?
Nataka nijue mwanamke malaya ana vigezo gani?
Golden Mpoleee.