Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Ninashangazwa sana na hii tabia.....Hivi kwa nini wanawake wanapoolewa wanabadilisha
line za simu??? Kwa mfano Dada yangu alipoolewa kabadili, mademu wengi ninaowajua
nikisikia wameolewa, nikiwapigia simu siwapati.
Kwa nini jamani mnakuwa hivi? hamjiamini? Hii inanifanya niamini kuwa Wanaume wengi wanaoa wanawake ambao ni
wasanii na washafanya sana mchezo mbaya..
line za simu??? Kwa mfano Dada yangu alipoolewa kabadili, mademu wengi ninaowajua
nikisikia wameolewa, nikiwapigia simu siwapati.
Kwa nini jamani mnakuwa hivi? hamjiamini? Hii inanifanya niamini kuwa Wanaume wengi wanaoa wanawake ambao ni
wasanii na washafanya sana mchezo mbaya..