Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 3,620
- 6,743
Juzi Kati wakati natembelea maskani ya Twitter nikakutana na mkenya mmoja anazungumzia kisa chake kimoja na demu wake.
Anasema yeye kwakawaida huwa soo nice Kwa manzi wake kiasi kwamba kila kitu yeye husema Sawa Tu,yaani Hajui kusema hapana Kwa babe wake, so ikatokea wakati akawa anaumwa na demu akakata mawasiliano kabisa anasema alipopona ikabidi amtafute manzi wake, ndo manzi wake akampa makavu live kuwa yeye sio mwanaume.
Kwasababu yeye huyo demu anapenda mwanaume ambaye anamamlaka naye,ambaye anaweza kumwambia kitu Fulani hapana au sipendi, demu akaendelea kufunguka kuwa "wewe hata nikienda night out na my girls huwa unaniruhusu Tu! Yaani Niko huru kufanya chochote na husemi neno,Mimi napenda mwanaume ambaye hata nikikosea anaweza nifokea na kunislap chap"
Mwengine nae akatoa ushuhuda unao fanana na huo huo kuwa alikuwa Mr nice guy Kwa demu wake lkn mwisho wa siku demu akamwambia mi siwezi kuwa na mwanaume kama wewe ambaye hasimami kama mwanaume.
Bahati nzuri kuna demu mmoja akasema ni kweli wanawake wanapenda mwanaume ambaye atakuwa anamsimamia demu wake na kumfanya ajisikie kuwa ana mwanaume ambaye ana mamlaka naye na akaendelea Kwa kuongeza kusema kuwa " mwanaume ambaye anaonyesha ana wivu na wewe inaonyesha anakupenda na kukujali pia kuliko mwanaume ambaye yeye kila kitu huchukulia poa Tu".
Nakumbuka hata humu Jf kuna madam mmoja aliwahi Toa Uzi kuwa mwanaume wake yaani hajali kabisa kuhusu yeye,yaani hata akisikia ameenda wapi hasemi chochote au kuuliza au kukasirika,na ilikuwa ni shida Sana Kwa madam huyo kumuelewa mumuwe.
Kwahiyo nyie Akina Mr. Nice guys msiseme kuwa hamjaambiwa,habari ndiyo hiyo jifanye nice guy halafu upigwe Chini na baadae unasema demu wangu unajua simuelewi siku hizi? Kumbe amekuona hausimami kama mwanaume.
Ni hayo Tu!
Anasema yeye kwakawaida huwa soo nice Kwa manzi wake kiasi kwamba kila kitu yeye husema Sawa Tu,yaani Hajui kusema hapana Kwa babe wake, so ikatokea wakati akawa anaumwa na demu akakata mawasiliano kabisa anasema alipopona ikabidi amtafute manzi wake, ndo manzi wake akampa makavu live kuwa yeye sio mwanaume.
Kwasababu yeye huyo demu anapenda mwanaume ambaye anamamlaka naye,ambaye anaweza kumwambia kitu Fulani hapana au sipendi, demu akaendelea kufunguka kuwa "wewe hata nikienda night out na my girls huwa unaniruhusu Tu! Yaani Niko huru kufanya chochote na husemi neno,Mimi napenda mwanaume ambaye hata nikikosea anaweza nifokea na kunislap chap"
Mwengine nae akatoa ushuhuda unao fanana na huo huo kuwa alikuwa Mr nice guy Kwa demu wake lkn mwisho wa siku demu akamwambia mi siwezi kuwa na mwanaume kama wewe ambaye hasimami kama mwanaume.
Bahati nzuri kuna demu mmoja akasema ni kweli wanawake wanapenda mwanaume ambaye atakuwa anamsimamia demu wake na kumfanya ajisikie kuwa ana mwanaume ambaye ana mamlaka naye na akaendelea Kwa kuongeza kusema kuwa " mwanaume ambaye anaonyesha ana wivu na wewe inaonyesha anakupenda na kukujali pia kuliko mwanaume ambaye yeye kila kitu huchukulia poa Tu".
Nakumbuka hata humu Jf kuna madam mmoja aliwahi Toa Uzi kuwa mwanaume wake yaani hajali kabisa kuhusu yeye,yaani hata akisikia ameenda wapi hasemi chochote au kuuliza au kukasirika,na ilikuwa ni shida Sana Kwa madam huyo kumuelewa mumuwe.
Kwahiyo nyie Akina Mr. Nice guys msiseme kuwa hamjaambiwa,habari ndiyo hiyo jifanye nice guy halafu upigwe Chini na baadae unasema demu wangu unajua simuelewi siku hizi? Kumbe amekuona hausimami kama mwanaume.
Ni hayo Tu!