mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 19,044
- 37,245
Koh kohMbona ni sawa tu hakuna shida. Tena kama mie napenda sana kufanyiwa masaji hadi sehemu ya mguu karibia na goti. Miguu na viungo vyote vinachangamka hadi raha.
Koh kohMbona ni sawa tu hakuna shida. Tena kama mie napenda sana kufanyiwa masaji hadi sehemu ya mguu karibia na goti. Miguu na viungo vyote vinachangamka hadi raha.
Sema hakiyanani!Hahahaa. Mshenga usimwite mikononyuma sababu muoga huyo. Eti anaogopa watu wasiojulikana.
Mngh!Hivi Mshenga utaamini mie sijawahi fanyiwa hiyo kitu na sababu ni kwamba sipakagi kitu inayoitwa rangi zaidi ya hina.
Na ukiniona kucha zangu ziko vizuri tu. Mie naona kwa anayeweza si mbaya akasafisha kucha zake mwenyewe na kwa wale wasio weza waende tu wakaoshwe mbaya ni kutokujithamini na kilichowapeleka.
This is great aisee, hadi raha ila ukimwambia mtu mwengine ataleta ubishi na kuona unampangia maisha.Dini yangu hairuhusu mwanaume zaidi ya mme wangu kugusa ngozi yangu!!! ...
Hii ni kawaida kwa mabinti wengi wa kiislamu, huwa wana staha sana na miili yao hasa wale waliotokea familia zilizostaarabika na kushikilia misingi ya dini.
Koh koh
Mwanamke ni autonomous, inabidi ajismamie mwenyewe pasi na kufautwa fuatwa nyuma. Ikiwa mwanamke hajui mipaka yake ata ukimwambia kitu flani sio sawa still atakuona unamzingua tu mara unamnyima uhuru. Shida huanzia hapo!Hahaaa. Nyie ndio mnalichukulia ni jambo zito.
Cha muhimu na kinachotakiwa kupigiwa kelele ni hao wanawake kujitambua tu na kujua wao ni kina nani. Sababu usafi muhimu Mkuu.
Na hatuwezi kusema si sawa wakati kiuhalisia wateja wao ni wengi kupita kiasi.
Hiyo picha umeiona lkn?, utajisikiaje mtu wako akiwa anashikwa shikwa kifuani na mwanamke mwingine. Eti anamfanyia massage. Tuwe na heshima na mahusiano yetu.kila siku tunalalamika watu wanaachana Kwa sababu za kijinga. Huu ndio ujinga wenyewe.Hii haiko sawa!
Kupakwa rangi tu ndio kulete mengine?.... Mtu aachwe huru kutumia akili na utashi wake. Mtu mzima hawezi kuwekewa masharti kwa vile ati kuna insecurities...............utaweka masharti kila mahali? Njiani asitembee, asiende kazini wala sokoni wala dukani...wala hospitali..wala mazikoni, ...... the list is endless...
Aisee acha tu man, sijui wanapatikana wapi hawa wa hivi. Af unakuta toto zuriii so natural.
Hapana hamna akili km sisi.asi rangi tu
hakuna tabu jamani
-na wauza magenge je?mpemba muuza duka?haus boy??????threat zipo nying ni yeye kuamua n by the way WANAWAKE SI WATOTO WADOGO KUSEMA WANAKURUPUKA TU WANA AKILI KM NYINYI WANAUME NA WANAJUA WANACHOFANYA!!
- u as a man u have to fulfil yr duties then u wl c no 1 can cme across to ya wife ...lakin km wewe mvivu WA KILA KITU basi utakuwa unajishtukia kwa kila kitu ata kakake pia unaweza mfikiria vbaya.........KUWA MWANAUME KAMILI!!!!!!
Kweli vile Mbalizi. HahahaaaaMngh!
Hii kazi na mimi nataka niifanye japo kila wikiend.Mke wa mtu mwenye akili nzuri hawezi kufanyiwa hivyo.
Hawa wadada aliowatolea mfano naimani hawajaolewa.
Mwanamke ni wa kuwa monitored. Ndo nature ilivyo ukimwacha ajiendee tu atafanya upumbavu tu ni lazma!Wazee wa zaman walikuwa na akili sana
HAWA VIUMBE HAWAPASWI KUACHWA HURU
COZ AKILI ZAO WANAZIJUA WENYEWE
ONA SASA YANAYOENDELEA KTK HII DUNIA wanajaribu kuwa sawa kama wanaume at the end of the day wanajikuta wamefail
Ni wachache wenye akili ya kujiendesha wengine n hovyo kabisaa
Demu mzuri halafu akipenda kapenda,,,hakuna moment nzuri kama unapoona kuna bwege anamshobokea mpenzi wako ikiwa anamtaka then unakuta demu wako anamkazia mi nna mtu wangu kisha hapokei simu zake tena kama njia ya kumkatia moto!Alafu wana misimamobalaaaa
Sio hawa we engine pasua kichwa sijui vipusa