DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,494
- 99,260
Ni story ya zaman kdg, inaweza kua funzo kwa KE na ME walio kwenye ndoa au mahusiano serious .
Ni hivi,
Ilkua ndo kipind kifupi tangu nmemuoa mke wangu kipenzi MAMAG A.k.a Mama wawili, na ndo katoka kajifungua salama tumepata Mtoto wetu wa kwanza.
Sasa kipindi icho kichanga chetu ndo kimefikisha miez 6 tu, usiku nmetoka safari Tuko kitandani namwonesha mke wangu picha za mizigo niliyopakia uko nilikotoka, Kuna limchepuko flani lipumbavu sn nilikutana nalo uko Safari basi likanitumia sms ya mapenz usiku ule ule,ile sms inaingia tu, nikajaribu kuiskip haraka kumbe wife nae kaiona.
Ni hivi,
Ilkua ndo kipind kifupi tangu nmemuoa mke wangu kipenzi MAMAG A.k.a Mama wawili, na ndo katoka kajifungua salama tumepata Mtoto wetu wa kwanza.
Sasa kipindi icho kichanga chetu ndo kimefikisha miez 6 tu, usiku nmetoka safari Tuko kitandani namwonesha mke wangu picha za mizigo niliyopakia uko nilikotoka, Kuna limchepuko flani lipumbavu sn nilikutana nalo uko Safari basi likanitumia sms ya mapenz usiku ule ule,ile sms inaingia tu, nikajaribu kuiskip haraka kumbe wife nae kaiona.