Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 13,391
- 31,232
Yeye anataka akimtaka mtu akubaliwe akikataliwa inakua kesi. Watu wa hivi ni wa kuhurumiwa.Mwambie asiogope kusema kwa hofu ya kukataliwa, asiposema atajuaje kama kakubaliwa au kakataliwa?
Yeye anataka akimtaka mtu akubaliwe akikataliwa inakua kesi. Watu wa hivi ni wa kuhurumiwa.Mwambie asiogope kusema kwa hofu ya kukataliwa, asiposema atajuaje kama kakubaliwa au kakataliwa?
🤔🤔🤔Mwenyekiti wenu si alisema sasa ivi nyie masuperwoman!? Mnataka 50% kwa 50% kila kitu mbona mnasema tena kuhudumiwa?
😊😊😊, kimemaliza form four mwaka jana kinasubiri posts za chuo au advance.BAHARIA😃
Mapenzi hayalazimishwi afu workmate kuchoreshana tu love!
Japokuwa nakuunga mkono kuhusu kumtongoza mfanyakazi mwenzako ila kumpiga kalamu utakuwa "boss mnoko"Kumtongoza mfanyakazi mwenzio Ni kosa moja kubwa Sana la kiufundi.
Mimi nikiwa boss wako afu nikukute unatongozana na your fellow workmates lazima nikupige kalamu.
Hakika, alafu mwanaume kutongoza ni kawaida, kwa mwanamke timamu awezi ona ni ajabu.Kuna mambo ukiyachukulia in a positive way wala huwezi kuteseka
Kukataliwa ni kawaida,huwezi kukubaliwa na kila mtu
Huu ndo ukweli.Kuna mambo ukiyachukulia in a positive way wala huwezi kuteseka
Kukataliwa ni kawaida,huwezi kukubaliwa na kila mtu
Hamkujadili suala la kuamisha upande bila makubaliano ya pande zote mbili?Sisi wanawake kwenye kikao chetu tulichokifanya tarehe 25 December...
Chini ya mwenyekiti wetu (jina kwenye mabano)
1-MARUFUKU KUANZISHA MAHUSIANO NA KAZINI (JOB MATE) MFANYAKAZI MWENZYO.
2-MARUFUKU KUANZISHA MAHUSIANO NA MPANGAJI MWENZYO AU JIRANI YAKO.
3-MARUFUKU KUMTONGOZA MWANAUME,
4-MARUFUKU KUMKARIBISHA MWANAUME MAHALI UNAPOISHI,
-MARUFUKU KUMFULIA NGUO BOYFRIEND
-MARUFUKU MARUFUKU KUMPA HELA MWANAUME KWANZA SISI HATUNA HELA
-MARUFUKU KUBEBA MIMBA KABLA YA NDOA,WEWE HAUNA KIZAZI CHA MAJARIBIO
MWISHO,
MWIKO KUDATE NA MWANAUME AMBAYE HAKUHUDUMIII.
Wanaume wenzako huwa hatutongozi wafanyakazi wenzetu wala kuleta mapenzi sehemu za kazi.Habarini,
Katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku, unaweza jikuta unafanya kazi ofisi moja na mdada mrembo, she is young, hana mtoto, hajaolewa, unafanya nae kazi ofisi moja, unarusha ndoano, mbaya zaidi kimoyomoyo unamchukulia serious, kipindi chote ulichokaa nae hapo ofisini, kwa tabia zake unaona huyu akinikubalia tukiendana, anafaa kuoa, unamtongoza halafu anakukataa.
Ukute na hapo ofisini ana marafiki zake wengine wa kike, obviously ukimtongoza akikukataa, kwenye story zao atawaambia rafiki zake wa kike kuwa flani alimtongoza akakataa, hivyo CV/status yako kwa ujumla kwenye hiyo kampuni/mbele ya co-workers inashuka.
Mbaya zaidi unakuwa unaonana nae kila siku, heri angekuwa wa mtaani ukimtongoza akikataa unabadili njia ya kupita, sasa unamuona everyday, mara paap siku zinaenda unaona ameletewa posa, kaolewa, mara kapata ujauzito, na wewe uko hapo hapo. Sipatii picha hiyo awkwardness
How does it feel as a man, that pain, that embarrassment, all that effort uliyoweka, all that respect is flushed down the toilet. Unabaki unacheka usoni, moyoni umejaa maumivu na aibu
Hii scenario mimi binafsi haijanikuta in real life, ila najaribu tu ku-imagine.
Huu uzi bila comment ya Extrovert hautanoga
Ukiskia unatakiwa ukaze kisabuni ndio inatakiwa iwe kwenye situation kama hio ila tu hakikisha umekamata co-worker mwingine ili kutuliza wenge.Habarini,
Katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku, unaweza jikuta unafanya kazi ofisi moja na mdada mrembo, she is young, hana mtoto, hajaolewa, unafanya nae kazi ofisi moja, unarusha ndoano, mbaya zaidi kimoyomoyo unamchukulia serious, kipindi chote ulichokaa nae hapo ofisini, kwa tabia zake unaona huyu akinikubalia tukiendana, anafaa kuoa, unamtongoza halafu anakukataa.
Ukute na hapo ofisini ana marafiki zake wengine wa kike, obviously ukimtongoza akikukataa, kwenye story zao atawaambia rafiki zake wa kike kuwa flani alimtongoza akakataa, hivyo CV/status yako kwa ujumla kwenye hiyo kampuni/mbele ya co-workers inashuka.
Mbaya zaidi unakuwa unaonana nae kila siku, heri angekuwa wa mtaani ukimtongoza akikataa unabadili njia ya kupita, sasa unamuona everyday, mara paap siku zinaenda unaona ameletewa posa, kaolewa, mara kapata ujauzito, na wewe uko hapo hapo. Sipatii picha hiyo awkwardness
How does it feel as a man, that pain, that embarrassment, all that effort uliyoweka, all that respect is flushed down the toilet. Unabaki unacheka usoni, moyoni umejaa maumivu na aibu
Hii scenario mimi binafsi haijanikuta in real life, ila najaribu tu ku-imagine.
Huu uzi bila comment ya Extrovert hautanoga